Mwananchi ajaribu kukaribia viongozi msiba wa mama wa JK Bagamoyo

Binti Msichana

Senior Member
Oct 9, 2016
109
247
Katika hali ya kushangaza mwananchi mmoja amepata ujasiri wa kutaka kujaribu kupenya safu ya walinzi maalum wa viongozi mbalimbali waliopo katika msiba wa mama mlezi wa rais mstaafu ndugu Jakaya Kikwete.

Viongozi mbalimbali walikuwepo msibani akiwemo waziri mkuu Majaliwa , waziri mkuu mstaafu ndugu Pinda, Mwenyekiti wa Chadema pamoja na viongozi wengine.

Bado haijaeleweka mwananchi huyo alikusudia nini kwa kwenda meza kuu ya viongozi.Mwananchi huyo ameonekana amebeba bahasha, labda alikuwa ana shida binafsi ya kutaka kuongea na mmoja was viongozi waliopo msibani

Hata hata hivyo wanausalama walimdhibiti mwananchi huyo mwenye ujasiri koko.
 
chadema sasa wameamua kujipendekeza kwa JK baada ya kumtusi sana.Alipokuwa madarakani JK alifiwa na kaka yake,hatukumuona mtu yoyote wa chadema,ndio kwanza walisema acheni wafu wazikane.
Hawa watu hawana hata lepe la aibu.Na bado hadi waende msoga kumpigia magoti
 
Katika hali ya kushangaza mwananchi mmoja amepata ujasiri wa kutaka kujaribu kupenya safu ya walinzi maalum wa viongozi mbalimbali waliopo katika msiba wa mama mlezi wa rais mstaafu ndugu Jakaya Kikwete.

Viongozi mbalimbali walikuwepo msibani akiwemo waziri mkuu Majaliwa , waziri mkuu mstaafu ndugu Pinda, Mwenyekiti wa Chadema pamoja na viongozi wengine.

Bado haijaeleweka mwananchi huyo alikusudia nini kwa kwenda meza kuu ya viongozi.Mwananchi huyo ameonekana amebeba bahasha, labda alikuwa ana shida binafsi ya kutaka kuongea na mmoja was viongozi waliopo msibani

Hata hata hivyo wanausalama walimdhibiti mwananchi huyo mwenye ujasiri koko.
Washaanza kuona fasheni sana kwenda kujilipua live mbele ya wakubwa wa kazi, wacha waisome namba maana kuna mdau aliwahi Toa onyo kuwa hio tabia siyo ya kuiachia iote mizizi kwani ina madhara wakubwa , na sasa tushaanza kuona matokeo yake hata mwezi haujapita, maana naona kuna siku hata mdau utaenda kumnyemelea mkulu wa kaya hata ibadani kanisani....au kama huyo aliyamua kujilipua msibani kitu ambacho si staha wala uungwana kulingana na tamaduni zetu watanzania
wazee wa mstari irekebisheni hii tabia mapema kabla haijaota mizizi maana kuna mfumo rasmi wa kuwasiliana na viongozi wa juu wa kiserikali na.sio kuwa gumia ghafla bin vuu kama mmekutana mtaa wa Kongo au Kariakoo shimoni.
 
chadema sasa wameamua kujipendekeza kwa JK baada ya kumtusi sana.Alipokuwa madarakani JK alifiwa na kaka yake,hatukumuona mtu yoyote wa chadema,ndio kwanza walisema acheni wafu wazikane.
Hawa watu hawana hata lepe la aibu.Na bado hadi waende msoga kumpigia magoti
Sasa wajipendekeze kwa jk atawapa nn sasa na ustaafu wake amekua raisi au waziri mkuu.......mmbo yasias msioyajua msipnde kuzngumzia
 
Katika hali ya kushangaza mwananchi mmoja amepata ujasiri wa kutaka kujaribu kupenya safu ya walinzi maalum wa viongozi mbalimbali waliopo katika msiba wa mama mlezi wa rais mstaafu ndugu Jakaya Kikwete.

Viongozi mbalimbali walikuwepo msibani akiwemo waziri mkuu Majaliwa , waziri mkuu mstaafu ndugu Pinda, Mwenyekiti wa Chadema pamoja na viongozi wengine.

Bado haijaeleweka mwananchi huyo alikusudia nini kwa kwenda meza kuu ya viongozi.Mwananchi huyo ameonekana amebeba bahasha, labda alikuwa ana shida binafsi ya kutaka kuongea na mmoja was viongozi waliopo msibani

Hata hata hivyo wanausalama walimdhibiti mwananchi huyo mwenye ujasiri koko.
Habari kama hii bila Picha ni sawa na kutumia bila mpira
 
chadema sasa wameamua kujipendekeza kwa JK baada ya kumtusi sana.Alipokuwa madarakani JK alifiwa na kaka yake,hatukumuona mtu yoyote wa chadema,ndio kwanza walisema acheni wafu wazikane.
Hawa watu hawana hata lepe la aibu.Na bado hadi waende msoga kumpigia magoti
Nyie mliokuwa mnategemea tenda za serikali ndo inawachoma kama pasi hamna tena unanijua mimi nani
 
Back
Top Bottom