Mwanamuziki gani wa Marekani anaweza kushindana na Chris Brown kwa hits?

Ufuatilii mziki, Criss zilipendwa na wakina Usher wote zilipendwa mziki uko hivi mfano nitolee kwenye Movie industry ukimuuliza ambae hafuatilii Movie akutajie maStar wa movie atataja Vandame, Anolrd nk ila kwa aliye update atakwambia Tom Cruise, Ronald nk, kwanini kwasababu hawa wakina Vandame walikuwa kipindi ndio movie zinaRise duniani na kwenye mziki hivyohivyi kwasasa ukizungumzia mziki kama USA utataja The Weekend nk.
Kwa nilivyomuelewa muanzisha mada....amemaanisha msanii mwenye hits siyo msanii anayetamba kwa sasa...The weekend bado sana kwa Criss..
Generally Criss yupo level za kina R kelly au Celline dione japo ni m canada kwa kuwa na nyimbo nyingi zilizo hit.
 
Mkuu your not serious.

Kuna
Ed Sheeran
Shawn mendes.
Passenger
Maaron 5
Bruno Mars
James Arthur
Lewis capaldi.
Charlie puth

Na Justin Bieber.
Chris brown zilipendwa.

Hapo sijaweka wa kike wanaoimba.
Duuh! huyu Lewis Capaldi anabonge la ngoma inaitwa "someone you loved"
Aisee ni hatari na nusu
 
Hakuna msanii wa marekani anaongoza kwa kutoa hits kama Drake,yaani Hata akishirikishwa kwenye ngoma yoyote inakua hit,Cheki Popstar ya DJ Khaled,Cheki Life is good ya Future saiv INA views 1bilion on YouTube,, Albums za Drake pia waga zina'hits sio kitoto,,Drake yule ni Sheitwani,Chris brown mwenyewe bila kumweka Drake kwenye No guidance sidhani kama ingefika apo ilipo, Scars
Drake anapendwa just imetokea tu Lakini binafsi huwa sioni maajabu sana ingawa nyimbo zake ni nzuri.

Kuhusu B YouTube views, huwa Wasanii huwa wanazifumua kila wakati: Bruno Mars, Sia, Katty Perry, Justin Bieber, Taylor Swift
 
chris zama zake naona zimepita
ni kama wayne alivyo sasa hiv
kuanzia 2004 2005 weekend top 30 walikua wanatamba wao tu iwe nyimbo zao au kwa kushirikishwa
 
Hivi kuna mtu humu anamfahamu Young Gully huyu jamaa aliibuka na hit ka "No Way" ila simsikii nowdays
 
Breezy ni moto mzee hakuna wa kufikia kiwango chake mara 100 wangem compare na drake maana nae ana hits na akifanya feature huwa ni hit!

Kwa Breezy bado hujazitaja bangers kama Wet,Yeah, Looka at me now, Freaky Friday, Gold Slugs...

Ukipata wasaa sikiliza Album yake ya Royalty mawe yapo ya kutosha mle! Hits ni nyingi wala huhitaji degree kumjua kuwa ChrisBrown ni mnoma sema labda kama wanambania tu.
Kuna ngoma moja ya Breezy yupo na ma men Tyga inaitwa Rumorz aisee aisee aisee acha kabisa

Huyu jamaa tumpe heshima yake na siyo kumlinganisha na wasanii uchwara
 
Kuna ngoma moja ya Breezy yupo na ma men Tyga inaitwa Rumorz aisee aisee aisee acha kabisa

Huyu jamaa tumpe heshima yake na siyo kumlinganisha na wasanii uchwara
huyo the weekend nimesikia nyimbo yake flani hapo clouds fm! Utopolo tu ngoma mbovu sijui jina ndio linambeba😝
 
Chris Brown atengwe kipaji na uwezo wake huwezi kufananisha na msanii yoyote yule Marekani na sehemu nyingi duniani.

Kitu kilichopo ni kwamba hapewi heshima anayostahili kutokana na tabia zake. Hakuna msanii anamfikia Chris Brown kwa hits. Ukiachana na hits tu pia hakuna msanii mwenye uwezo wa kuimba zaidi ya Chris Brown, ameshafanya R&B, Rap, Pop.

Chris ni moja ya wasanii wenye nyimbo nyingi kali na anadai ana nyimbo zaidi ya 800 studio. Ndiyo sababu ya yeye kuwa anatoa nyimbo ambazo hazipo under management. Ana nyimbo nyingi hujazisikia kwasababu hazijatoka chini ya management yake;

All the Time
Him or Me
M.F.T.R (Remix)
Die Young
Lady in the Glass Dress
Whippin ft. Quavo
Who Dis
How I Feel
What Would You Do
The Breakup
Your Heart
Keep You In Mind ft. Bryson Tiller

Kasikilize hizo nyimbo hapo juu kama hujawahi kuzisikia utajua uwezo wake halisi na kuwa ni msanii underrated (hizo ni baadhi).

Ukipata time sikiliza na hizi collabo ambazo huenda hujazisikia;

Blaq Tuxedo - Waterbed
Mr. Probz - Wave
Zendaya - Something New
Sevyn Streeter - It Won't Stop
Teyana Taylor - Freak On
Rockie Fresh - Must Be
Rockie Fresh - Call Me When It's Over
DJ 4B - Did You
OneInThe4Rest - Jiu Jitsu

Sasa hivi ana collabo mpya, G-Eazy - Provide ft. Chris Brown, Mark Morrison.

Silazimishi mtu kuamini kuwa Chris Brown ni mkali ila hata waliopo kwenye industry wanaitafuta collabo na Chris kwasababu nyingi huwa zina impact kubwa kwenye career zao. Wasanii waliobustiwa na Chris ni kama Rita Ora, Pia Mia, DaniLeigh, Lil Dicky, G-Eazy, Tyga (kipindi hicho cha ngoma ya Snapback), Kid Ink, Section Boyz (kwenye Shabba na Whippin) Wizkid (kwenye Shabba na African Bad Gyal), Davido (kwenye Blow My Mind na Shopping Spree).
 
Criss wanamfanyia mtima nyongo tu ..kwakuwa alimdunda Rihanna ... Lakini kwa uwezo hakuna msanii anayemfikia kwa kuimba kwa Sasa ... Imagine eti hata the weekend unakuta anaongoza kukaa ktik chat za muziki kuliko ngoma za criss brown Sasa hicho si kichekesho
Weekend mtu mwingine mkuu umesikia wimbo wake wa save your tears?
 
huyo the weekend nimesikia nyimbo yake flani hapo clouds fm! Utopolo tu ngoma mbovu sijui jina ndio linambeba
Yaani Mimi nilimuelewaa kwenye ama star boy .. na I feel it coming . Nyimbo zake nyingine Naona hamna kitu
 
Acha masihara ujue

Yaani Criss breezy huyu huyu umfannishe na the weekend dahhh !!! Bangi kweli sio mchicha
The weekend anaonekana mkali BSE nyimbo zake mingi akitoa zinaingis kwenye billboard charts ukilinganisha na breezy ..that's why watu wanamwona Ni Bora kuliko Chris ..
Ila me kwangu breezy Ni the best
Heart break on full moon.
Indigo
Indigo extended
My fav albums from Chris brown.
 
Back
Top Bottom