Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,107
- 173,897
Huyu dogo breezy ni Gold hasa akiwa kwenye chorus ya track lazma iwe hit $ong! Wacha niitafute hioTafuta hit moja ya breezy na G Eazy inaitwa Provide, ni bonge la hit.
Huyu dogo breezy ni Gold hasa akiwa kwenye chorus ya track lazma iwe hit $ong! Wacha niitafute hioTafuta hit moja ya breezy na G Eazy inaitwa Provide, ni bonge la hit.
Breezy ni moto mzee hakuna wa kufikia kiwango chake mara 100 wangem compare na drake maana nae ana hits na akifanya feature huwa ni hit!Go Crazy aliyomshirikisha Young Thug kwa siku ya Alhamisi imekuwa ya kwanza kuwa top ten ya Billboard kwa wiki 32. Ndio inaongoza kuwa top ten muda mrefu kwa sasa. Wiki ya 32 ila bado iko namba 7.
Namba nne katika longest serving in top ten Billboard chart ni No guidance aliyomshirikisha Drake, hii ilikaa wiki 30 kwenye list ila ishatoka.
Kumlinganisha Breezy na kina Justin Bieber ni kulinganisha K Vant na Amarula, mmoja rapper mwingine sijui nani nani.
Sorry, Tempo, Criss Kros, Loyal, Questions, Beat it, Don't Wake me Up, Whipping, Heat, etc. Bado hujataja alikoshirikishwa kama International Love ft Pitbull, My Last ft Big Sean, Right by My Side ft Nicki Minaj.
Chris Brown yuko underrated ni kama vile soko la mziki halimtaki, hapewi kiki za kumboost kama wengine. Wamiliki wa industry si ni walewale mtu anaweza kuwa uwezo mdogo ila sijui nyota inambeba. Yuko wapi Katy Perry, wapi Cardi B? Eti MeganTheeStallion alichukua tuzo tatu za BET 2020 ikiwemo kuwa msanii bora wa hiphop, siamini uwezo wake.
Endelea kufuatilia singeli huna unalojua.Ufuatilii mziki, Criss zilipendwa na wakina Usher wote zilipendwa mziki uko hivi mfano nitolee kwenye Movie industry ukimuuliza ambae hafuatilii Movie akutajie maStar wa movie atataja Vandame, Anolrd nk ila kwa aliye update atakwambia Tom Cruise, Ronald nk, kwanini kwasababu hawa wakina Vandame walikuwa kipindi ndio movie zinaRise duniani na kwenye mziki hivyohivyi kwasasa ukizungumzia mziki kama USA utataja The Weekend nk.
Huna unalojua wewe. Criss brown ni namba nyingine. Kuanzia kwenye nyimbo ambazo Yuko featured au za kwake binafsi.Ufuatilii mziki, Criss zilipendwa na wakina Usher wote zilipendwa mziki uko hivi mfano nitolee kwenye Movie industry ukimuuliza ambae hafuatilii Movie akutajie maStar wa movie atataja Vandame, Anolrd nk ila kwa aliye update atakwambia Tom Cruise, Ronald nk, kwanini kwasababu hawa wakina Vandame walikuwa kipindi ndio movie zinaRise duniani na kwenye mziki hivyohivyi kwasasa ukizungumzia mziki kama USA utataja The Weekend nk.
Taja hit song 6 kwa mwaka Jana za hao wasanii na Mimi nikutajie hit song 6 za Breezy za mwaka Jana ... Twende step kwa step.Ngoja nikusaidie mkuu....
Tylor swift
Selena gomez
Cabello camilla
Norman
Card B
Nick minaj
Kuna wajinga wamenikera Sana humu kumlinga breezy na takatakaGo Crazy aliyomshirikisha Young Thug kwa siku ya Alhamisi imekuwa ya kwanza kuwa top ten ya Billboard kwa wiki 32. Ndio inaongoza kuwa top ten muda mrefu kwa sasa. Wiki ya 32 ila bado iko namba 7.
Namba nne katika longest serving in top ten Billboard chart ni No guidance aliyomshirikisha Drake, hii ilikaa wiki 30 kwenye list ila ishatoka.
Kumlinganisha Breezy na kina Justin Bieber ni kulinganisha K Vant na Amarula, mmoja rapper mwingine sijui nani nani.
Sorry, Tempo, Criss Kros, Loyal, Questions, Beat it, Don't Wake me Up, Whipping, Heat, etc. Bado hujataja alikoshirikishwa kama International Love ft Pitbull, My Last ft Big Sean, Right by My Side ft Nicki Minaj.
Chris Brown yuko underrated ni kama vile soko la mziki halimtaki, hapewi kiki za kumboost kama wengine. Wamiliki wa industry si ni walewale mtu anaweza kuwa uwezo mdogo ila sijui nyota inambeba. Yuko wapi Katy Perry, wapi Cardi B? Eti MeganTheeStallion alichukua tuzo tatu za BET 2020 ikiwemo kuwa msanii bora wa hiphop, siamini uwezo wake.
Ndio maana tumepiga marufuku viroba.Jason Derulo
Tafuta hii album ya Indigo , sio kukesha kwenye visingeli mnakuja kutupigia kelele hapa.Duuh ww jamaa bado sana kuujua muziki wa US, huyo Chriss anaweza kumaliza mwaka hajawahi fanya ht show ya bure. Mbaya zaid alipompiga Rihanna ndo akajiharibia kabisa.
Bruno Mars tuu anamuacha 10000km
Hivi kuna mwana muziki gani pale America anaweza kubattle na Chris Brown kwenye Hits. Yani anaweza kuwa na hits kali kumzidi Chris Brown. Kwa wale wanaoimba.
Chris brown angekuwa anakaribia level za kina Michael Jackson.Kwangu mm Usher ni zaidi ya Chris Brown
Msikilize Bruno MarsSasa msanii gani ana hits kali kumzidi Breezy? Hujajibu mkuu
Hiyo ilipenya penya kwenye charts Kwasababu ya Drake.Kama hii No Guidance ft Drake isiwe hit? Aaah
The Weeknd ana hits na anajua ila ana ngoma chache na binafsi sioni kama anajituma kikamilifu.The weekend ana nyimbo gani kali ambazo zinahita au zimehit! Mind you productions ziwe kali pia zinazosikilizika sio utopolo!
Chris Brown hawezi kupata tuzo baada kumpiga aliyekua mpenzi wake Rihanna Robby Fenty, wenzetu wanaangalia vitu kama hivyoMhmhmh!
Unasemaje hii ni hit kali? Kwa uelewa wangu mdogo juu ya muziki, ili wimbo uwe ni hit kali basi uwe 'streamed' katika mitandao kwa kiasi kikubwa. Ushike namba za juu katika Chats za Billboard huko Marekani.
Na pia, upate tuzo nyingi katika mwaka husika kutoka kwa watayarishaji mbalimbali.
Sasa je, Chris Brown hivi karibuni katoa nyimbo zipi ambazo zinasumbua sana? Mara yake ya mwisho kushinda tuzo ni lini na kwa wimbo upi?
Anajitahidi, lakini bado.
Unasemaje hapo.Hiyo ilipenya penya kwenye charts Kwasababu ya Drake.
Wamarekani ni mabingwa wa kususa nakwambia.
Imagine leo Chris brown anaomba collabo kwa msanii kama Justin Bieber ambaye alikuwa anakaa kwenye corridor nyumbani kwao anaimba cover za Chris brown.
Wewe nae ni kiazi kilichoungua, Sasa with you ni wimbo wa hivi Karibuni ?Huna unalojua wewe. Criss brown ni namba nyingine. Kuanzia kwenye nyimbo ambazo Yuko featured au za kwake binafsi.
Fuatilia hizi nyimbo zake za hivi karibuni
Criss Brown ft Young Thug - GO CRAZY
Criss Brown - WITH YOU
Zifuatilie kwenye chati za muziki kubwa kubwa zimefanya nini na sio kubwabwaja.
Hii ni chati ya BILLBOARD TOP 100 Angalia namba sita.
View attachment 1696442
Singeli zinaharibu akili za wadogo zetuTafuta hii album ya Indigo , sio kukesha kwenye visingeli mnakuja kutupigia kelele hapa. View attachment 1696450
Hivi msanii kama Billie Eilish unamwelewa 🤣🤣🤣🤣Kwa miaka ya hivi karibuni kuna watu wanamfunika pakubwa tu...
Kwamfano drake, pia nahisi wazungu wanaangalia vitu vyao tofauti na sisi kuna album ya the weeknd sijui wameipendea nini wakati mi nikicheki ina nyimbo chache nzuri nahisi kuna reason behind either kama ilivyokwetu kwa diamond na kiba,
Pia inawezekana hits za wazungu ni tofauti na hits zet tunavyochukulia, kwamfano blinding light ya the weeknd ni nyimbo yenye mafanikio zaidi kuriko go crazy.
Harafu ilitakiwa mweka mada uwe specific ni aina ipi ya mziki... maana kuna madogo ya trap yanaimba utopolo ila ni hits sio kitoto.
Kwa upande wangu... overall breezy kwa aina yake ya mziki yan huko kwenye rnb ni bora zaidi hasa kwa kutokuchuja kwa miaka mingi.
Japo huwa akishindanishwa Asher na breezy, chrs huwa anapigwa chini huko mbele
Wewe ni wale wale wale tu, kwahiyo title ya wimbo wa with you ni mmoja tu ng'ombe wewe.Wewe nae ni kiazi kilichoungua, Sasa with you ni wimbo wa hivi Karibuni ?