Mwanamuziki gani wa Marekani anaweza kushindana na Chris Brown kwa hits?

Kwa miaka ya hivi karibuni kuna watu wanamfunika pakubwa tu...

Kwamfano drake, pia nahisi wazungu wanaangalia vitu vyao tofauti na sisi kuna album ya the weeknd sijui wameipendea nini wakati mi nikicheki ina nyimbo chache nzuri nahisi kuna reason behind either kama ilivyokwetu kwa diamond na kiba,

Pia inawezekana hits za wazungu ni tofauti na hits zet tunavyochukulia, kwamfano blinding light ya the weeknd ni nyimbo yenye mafanikio zaidi kuriko go crazy.

Harafu ilitakiwa mweka mada uwe specific ni aina ipi ya mziki... maana kuna madogo ya trap yanaimba utopolo ila ni hits sio kitoto.

Kwa upande wangu... overall breezy kwa aina yake ya mziki yan huko kwenye rnb ni bora zaidi hasa kwa kutokuchuja kwa miaka mingi.

Japo huwa akishindanishwa Asher na breezy, chrs huwa anapigwa chini huko mbele
Taja hit song 4 za Usher za mwaka Jana
 
Ana "hits" nyingi kumzidi Rihanna?
Ana "hits" nyingi kumzidi Drake (huyu kwangu ni muimbaji pia)?
Ana "hits" nyingi kumzidi Mariah Carey?
 
Nampenda huyu mwanaume mpaka nahisi kufa kufa tyuuh.
Chriss breezy anautesa moyo wangu. Awwwwww
 
Chris Brown_Back to sleep
Chris Brown_Dont judge me
Heat ft Gunna
Hope you Do
Little more
Part ft usher,Gucci Mane
Privacy
Undecided
With you
Crawl
No Guidance ft Drake
City Girls ft Young Thung🙌
Go Crazy ft Young thung
Fine in China
Auntum Leaves ft Kendrick Lamar
Loyal fy Lil wayne,Tyga
New flame ft Usher rick rose
She aint you
Yeah
Zero


Akishilikishwa ni history anaacha.

Hold You down ya Dj Khalid
Do you mind ya Dj Khalid
Do it again ya Pia Mia
Sorry ya Rick Rose🙌
Body on me Rita Ora
GOLD slugs ya Dj Khalid
 
Chris Brown atengwe kipaji na uwezo wake huwezi kufananisha na msanii yoyote yule Marekani na sehemu nyingi duniani.

Kitu kilichopo ni kwamba hapewi heshima anayostahili kutokana na tabia zake. Hakuna msanii anamfikia Chris Brown kwa hits. Ukiachana na hits tu pia hakuna msanii mwenye uwezo wa kuimba zaidi ya Chris Brown, ameshafanya R&B, Rap, Pop.

Chris ni moja ya wasanii wenye nyimbo nyingi kali na anadai ana nyimbo zaidi ya 800 studio. Ndiyo sababu ya yeye kuwa anatoa nyimbo ambazo hazipo under management. Ana nyimbo nyingi hujazisikia kwasababu hazijatoka chini ya management yake;

All the Time
Him or Me
M.F.T.R (Remix)
Die Young
Lady in the Glass Dress
Whippin ft. Quavo
Who Dis
How I Feel
What Would You Do
The Breakup
Your Heart
Keep You In Mind ft. Bryson Tiller

Kasikilize hizo nyimbo hapo juu kama hujawahi kuzisikia utajua uwezo wake halisi na kuwa ni msanii underrated (hizo ni baadhi).

Ukipata time sikiliza na hizi collabo ambazo huenda hujazisikia;

Blaq Tuxedo - Waterbed
Mr. Probz - Wave
Zendaya - Something New
Sevyn Streeter - It Won't Stop
Teyana Taylor - Freak On
Rockie Fresh - Must Be
Rockie Fresh - Call Me When It's Over
DJ 4B - Did You
OneInThe4Rest - Jiu Jitsu

Sasa hivi ana collabo mpya, G-Eazy - Provide ft. Chris Brown, Mark Morrison.

Silazimishi mtu kuamini kuwa Chris Brown ni mkali ila hata waliopo kwenye industry wanaitafuta collabo na Chris kwasababu nyingi huwa zina impact kubwa kwenye career zao. Wasanii waliobustiwa na Chris ni kama Rita Ora, Pia Mia, DaniLeigh, Lil Dicky, G-Eazy, Tyga (kipindi hicho cha ngoma ya Snapback), Kid Ink, Section Boyz (kwenye Shabba na Whippin) Wizkid (kwenye Shabba na African Bad Gyal), Davido (kwenye Blow My Mind na Shopping Spree).
 
Hakuna msanii wa marekani anaongoza kwa kutoa hits kama Drake,yaani Hata akishirikishwa kwenye ngoma yoyote inakua hit,Cheki Popstar ya DJ Khaled,Cheki Life is good ya Future saiv INA views 1bilion on YouTube,, Albums za Drake pia waga zina'hits sio kitoto,,Drake yule ni Sheitwani,Chris brown mwenyewe bila kumweka Drake kwenye No guidance sidhani kama ingefika apo ilipo, Scars
 
Hakuna msanii wa marekani anaongoza kwa kutoa hits kama Drake,yaani Hata akishirikishwa kwenye ngoma yoyote inakua hit,Cheki Popstar ya DJ Khaled,Cheki Life is good ya Future saiv INA views 1bilion on YouTube,, Albums za Drake pia waga zina'hits sio kitoto,,Drake yule ni Sheitwani,Chris brown mwenyewe bila kumweka Drake kwenye No guidance sidhani kama ingefika apo ilipo, Scars
Mwaka 2018 karibia miezi mitatu yote jamaa alikua anashika number 1 kwenye hit za billboard

Kuna kipindi billboard ilifikia kuanzia number moja hadi nne zineongozana ni nyimbo zake tu

Nadhani God's plan ndio nyimbo ambayo imekaa number moja kwa muda mrefu bila kuwa replaced kuliko nyimbo nyingine zote kwa kipindi kile ambapo iliachiwa
 
Chris Brown atengwe kipaji na uwezo wake huwezi kufananisha na msanii yoyote yule Marekani na sehemu nyingi duniani.

Kitu kilichopo ni kwamba hapewi heshima anayostahili kutokana na tabia zake. Hakuna msanii anamfikia Chris Brown kwa hits. Ukiachana na hits tu pia hakuna msanii mwenye uwezo wa kuimba zaidi ya Chris Brown, ameshafanya R&B, Rap, Pop.

Chris ni moja ya wasanii wenye nyimbo nyingi kali na anadai ana nyimbo zaidi ya 800 studio. Ndiyo sababu ya yeye kuwa anatoa nyimbo ambazo hazipo under management. Ana nyimbo nyingi hujazisikia kwasababu hazijatoka chini ya management yake;

All the Time
Him or Me
M.F.T.R (Remix)
Die Young
Lady in the Glass Dress
Whippin ft. Quavo
Who Dis
How I Feel
What Would You Do
The Breakup
Your Heart
Keep You In Mind ft. Bryson Tiller

Kasikilize hizo nyimbo hapo juu kama hujawahi kuzisikia utajua uwezo wake halisi na kuwa ni msanii underrated (hizo ni baadhi).

Ukipata time sikiliza na hizi collabo ambazo huenda hujazisikia;

Blaq Tuxedo - Waterbed
Mr. Probz - Wave
Zendaya - Something New
Sevyn Streeter - It Won't Stop
Teyana Taylor - Freak On
Rockie Fresh - Must Be
Rockie Fresh - Call Me When It's Over
DJ 4B - Did You
OneInThe4Rest - Jiu Jitsu

Sasa hivi ana collabo mpya, G-Eazy - Provide ft. Chris Brown, Mark Morrison.

Silazimishi mtu kuamini kuwa Chris Brown ni mkali ila hata waliopo kwenye industry wanaitafuta collabo na Chris kwasababu nyingi huwa zina impact kubwa kwenye career zao. Wasanii waliobustiwa na Chris ni kama Rita Ora, Pia Mia, DaniLeigh, Lil Dicky, G-Eazy, Tyga (kipindi hicho cha ngoma ya Snapback), Kid Ink, Section Boyz (kwenye Shabba na Whippin) Wizkid (kwenye Shabba na African Bad Gyal), Davido (kwenye Blow My Mind na Shopping Spree).
Chris brown ni msanii talented sana kila angle ana fit

Ukimleta kwenye rap anaua kama alivyo mficha famous fresh kwenye leave broke

Ukimleta kwenye sector ya broken heart anatulia kama kwenye the breakup na all falls down/sometimes waliofanya na usher

Lakini kwenye hit hapo kazidiwa na drake
 
Yeah sure ni God's plan ndo ilikaa no1 bila kushushwa,,Chris brown ni mkali pia ni multi-talented lakini Drake anatoa hits sana
Mwaka 2018 karibia miezi mitatu yote jamaa alikua anashika number 1 kwenye hit za billboard

Kuna kipindi billboard ilifikia kuanzia number moja hadi nne zineongozana ni nyimbo zake tu

Nadhani God's plan ndio nyimbo ambayo imekaa number moja kwa muda mrefu bila kuwa replaced kuliko nyimbo nyingine zote kwa kipindi kile ambapo iliachiwa
 
True say,,Kwanza ukicheki Album ya Breezy hii ya Indigo hits mule hazifiki 5,,Ata ukiangalia ile album yake yenye ngoma nyingi kuliko album zake zote(Heartbreak on full moon)ina ngoma 40s but hits ni chache sana,,Lakini Scorpion, Views karibia ngoma zote n hits,,Tusubiri album yake mpya aliyoipeleka mbele
Chris brown ni msanii talented sana kila angle ana fit

Ukimleta kwenye rap anaua kama alivyo mficha famous fresh kwenye leave broke

Ukimleta kwenye sector ya broken heart anatulia kama kwenye the breakup na all falls down/sometimes waliofanya na usher

Lakini kwenye hit hapo kazidiwa na drake
 
Naona kuna mtu anamlinganisha Chriss Brown na wasanii wa kawaida wanaobebwa na Industry ya mziki Marekani.

Chriss Brown akifa ndiyo mtajua mlikuwa hamjui.

kwangu ni G.O.A.T
 
Ndugu nadhani wewe utakuwa ni mchanga katika ulimwengu wa muziki au uwezo wako wa kuchanganua mambo ni mdogo sana. Tasnia ya muziki ina muda na muda wa wanamuziki kutawala chats tofauti kutegemea na mazingira na matukio namna yalivyo. Nikupe mfano mdogo kidogo, miaka ya 90 mpaka 2000 mwanzoni kulikuwa na kundi la kimarekani linaitwa Field Mob, kuna hilo la Outkast kulikuwa na Lost Boys, kulikuwana mchawi mmoja wa sauti aliitwa Joe Thomas. Ni watu walitamba sana kwa nyakati zao.

Nikukumbushe tu, muda huo hakukuwa na Youtube wala kustream hivi ilivyo leo. Internet ilikuwa ni ya tabu kuwahi kusikia, mara nyingi tulipata habari zao kupitia Magazeti na Majarida. Tulikuwa tukinunua radio casette au Santuri kwa wenye uwezo.

Muda ndiye hakimu wa mwisho bwana mdogo
 
Back
Top Bottom