helo kumbe yule muke mwenzangu angekuwa mboss mkubwa tu TPA mume alivomuoa.
Akamuachisha kazi.
Wanaume kwa nini mnawaachisha wake zenu kazi?
Na wewe mudada kwa nini mume akuachishe kazi?
Wadada msikubali muwachishwe kazi.
Mie tokea nifahamu kuwa aliachiswa kazi namuhurumia na ninampenda mke mwenzangu.
Ile tabia ya kumfungia mume wake nimeacha.
Unajua Mwanamke ameumbwa kumsaidia Mwanaume, Yaani mwanaume atakula kwa jasho na mwanamke atazaa kwa uchungu,sio maneno yangu ni ya bible,hata nchi za jiarabu mwanamke hafanyi kazi,ni mwanamume.....
Baada ya vita vya pili vya dunia 1945,kulianza kutokea uhaba wa wafanyakazi ulaya,hivyo,kuanza kwa wanawake kufanya kazi.....Thats why Hata hapa TZ, wanawake wameanza kufanya kazi baaada ya 1945.BUT Hali ya kiuchumi imebadilika,wanawake wanafanya kazi ili ku balance mambo.JE? Wataweza pia kubalance staha,kuvumilia,kumheshimu mumewe hata kama anamzidi kipato?
Najiuliza kwanini vitabu havikusema mwanamke atatafuta kwa jasho?au bible inatakiwa pia kubadilishwa?au bible inamkandamiza mwanamke?Nini majukumu ya mwanamke?nafikiri tukijua majukumu ya kila mmoja ktk familia ndo msingi wa Upendo na kuvumiliana.Maisha yamebadilika ya kiuchumi,je je kiroho/imani inabidi tubadilike pia,Kipi kinaweza kumuongoza mwenzie?
"NAPENDA MAISHA MAZURI ILA SIPENDI KUDHARAULIWA HATA KAMA SINA KITU"