MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,586
Zahra White,.............. ndivyo mke mwenzio alivyokwambia? Kuwa aliachishwa kazi na mumewe? Pengine alivolunteer yeye mwenyewe!
Last edited by a moderator:
mrembo, kwangu mimi nilivyo mkoloni, ndoa itaisha. Kila mmoja na lwake! Nami sipendi mke aache kazi, lakini kama haina kujenga Nyumba yetu, utaacha au ndoa itakufa! Najua una wajibu mkubwa kwa wazazi wako, wamekusomesha etc, tukubaliane tuendeje. Lakini ukileta jeuri ya wanawake wenye fedha, basi ndoa! CCM siyo mama yangu!- alisema Nyerere-
Wivu wa kijinga, wanadhani wakiwa kazini watamegwa.
Na ndio maana kuna kipindi cha urafiki kabla ya ndoa, ya nini kuolewa na mwanaume jeuri kama Idd Amini??
Kwetu hakuna urafiki kamwe kati ya msichana na mvulana. Wazazi ndio wanafanya kila kitu. Huu uhuni na umalaya wa leo ndio unaleta haya matatizo unayoyasema kuwa hutaacha kazi. Mnakutana ofisini, barabarani, shuleni mnabebana na nyege basi mwisho ni huo. Pole kama nimetumia lugha kali!
Hahahahaha naona una hasira kufananishwa na Idd Amin Dada...pole mkuu, ndio JF hii bwana.
Ndo hatima mliyochagua na ndio mmeamua kuitembeza dunia kwa style ya genye.....sasa tufanyeje sie?Wala sio hilo la Amin, Amin actually watu wa kagera walikuwa wanampenda maana wao wana afiliation sana na "abaganda" wanajiona wanashabihiana sana na waganda-abaganda kuliko Tanzania. Anyway tunaheshimu mipaka ya wakoloni na tuitunze. Mrembo wala sina hasira, kwani wanaohamasisha polisi kupiga raia mbona hatuwachukii. Nasema kubebana kwa vizazi vya leo kwa sababu ya nyege kunanikera sana!
Mrembo, hapo pa red! Siyo kweli kuwa ni "from no where", huyo ni mume kwa hiyo unajua anakotokea labda na sababu za kukuachisha kazi. Kama unafanya kazi na hela zako hazisaidii "mwili mmoja" basi ukae unipikie ugali maana ndio kuoa!
helo kumbe yule muke mwenzangu angekuwa mboss mkubwa tu TPA mume alivomuoa.
Akamuachisha kazi.
Wanaume kwa nini mnawaachisha wake zenu kazi?
Na wewe mudada kwa nini mume akuachishe kazi?
Wadada msikubali muwachishwe kazi.
Mie tokea nifahamu kuwa aliachiswa kazi namuhurumia na ninampenda mke mwenzangu.
Ile tabia ya kumfungia mume wake nimeacha.
Hivi ni kwa nn nyie wanawake huwa mnattua hv? Hakuna mwanmke ambaye anaishi bila kufikiria kwanza mmewe ashakufa. Kwa nn hufikirii kama ukifa wewe? unakuta kila mnachofanya mwanamke kazi yake ni kuchukua tahadhari tu kwa kuwaza mwanaume akifa!
Analazimisha mfunge ndoa ili ukifa asisumbuliwe
Analazimisha mjenge haraka hata ukifa awe tayari kwake
Anashauri mfungue biashara ili ukifa asipate shida
yaani kila kitu mnajiaandaa tu tukifa????
mie mke wangu lazima aache kazi akae home aalee mtoto full time sio miezi mitatu. hapo anakaa nje mwaka lea mtoto ndio unarudi kazini. unataka mtoto kazi unaacha kwa mwaka mzima ule watoto then later ndio unaweza rudi job. hiyo ya kumuachisha moja kwa moja sio kabisa
watu wengine viatu kweli mi hata kwa dawa sikai nyumbani mzazi wangu anashindia bamia kutwa kunisomesha ili niwe na maisha mazuri then uniambie nisifanye kazi patachimbika,hata kama nalipwa 20tsh ni si haba.kwanza kukaa nyumbani ni majungu tu,umbea na unampa mkeo nafasi ya kutafutwa na wengine maana mawazo yake yatakuwa finyu hana atakacho waza zaidi ya 6*6 na ukitetereka kidogo tu wenzako wanakusaidia.
Akikubali kunipa pesa sawa na mshahara wangu kila mwisho wa mwezi na marupurupu huenda nikamfikiria.
Ila kama hataki ajue kbs kuwa akina Kimbweka watamsaidia kunilea na kunitunza hapa mjini.
Akikubali kunipa pesa sawa na mshahara wangu kila mwisho wa mwezi na marupurupu huenda nikamfikiria.
Ila kama hataki ajue kbs kuwa akina Kimbweka watamsaidia kunilea na kunitunza hapa mjini.