D
Deleted member 485868
Guest
Huyo mwanaume alikua na yake bana
Mkuu nimecheka sanaMtu mzima kuamua kumtukana mwenzie hivyo hadharani lazima kunajambo, inawezekana yapo mengi zaidi ya hilo....
By the way, wakati mwingine wanawake mnakera tena sana, mi mwenyewe iliisha nitokea ya hivyo, nimejibana mtoto wa kiume angalau wife asipate dhahama ya kukaa masaa 14 kwenye basi, nikamega nusu ya mshahara nikamkatia tiketi ya ndege siku yenyewe inafika anajizungusha ndanii, namkumbusha muda una enda yeye hata hashtuki ndio anaanza nakufua, akachelewa shuttle....roho ikaniuma kweli, mtoto wa kiume nikajikaza na mihasira yangu nikawasha gari nimpele airport( hapo ni Arusha mpaka KIA) alipoona nimewasha gari na yeye akaamua kubadili tena nguo, nikazima gari, nimepiga simu mtu hatoki, kuingia ndani ndio kwanza anapanga begi limejaa balaa, nikamsaidia kulifunga, tumeondoka mpaka KIA watu wana board, ananiambia kasahau wallet na ina ticket tena akaanza kunilaumu mimi ndio nimemuwahisha mpaka kasahau, nikaidowload ticket nikampa...kule matangazo ndio yanazidi yeye ndio kwanza yuko kwenye kioo cha anarekebisha nywele...uvumilivu ulikwisha tho iam not proud of lakini nilimpa mabanzi mawili naona akili yake ikarudi, na ninashukuru hajawahi kuniuliza kwa nini nilimpa mabanzi na tangu siku hiyo kama anataka ndege atumie mshahara wake.......kwa hiyo haya mambo wakati mwingine wanawake mnatuuzi mno. Ingawa sitetei lakini inawezekana jamaa uvumilivu umefika mwisho, wenzenu roho zetu ndogo mjue!
Huyi mwanaume wa kizaramo kabisa. Unachamba mkeo na matusi ju kiza ndege ameachwa na ndege kweli?Habari Waungwana,
Kuna jambo limenikera sana, rafiki yangu bahati mbaya amechelewa kufika airport due to traffic.
ikabidi amepigie mumewe cm amuelezee kua amechelewa na ndege imemuacha,bwana yule
bila kutaka kujua amemtukana mkewe na kumwambia asuridi nyumbani yeye anamtegemea nyumbani baada ya 14days sio chini ya hapo na asijaribu kurudi nyumbani atakijua kilichomtoa
kanga manyoya.
Imebidi anieleze yalio jiri nikamwambia njoo nyumbani kwanza halafu tutaongea na mumeo huenda hasira tuu na stress za kazi, shoga kafika nyumbani akampigia kua yupo kwangu jamaa
akaja nikajua anakuja kumchukua mkewe Looo bila aibu kaanza kumtukana tena mwanamme yule ana chamba kama kalelewa na mashoga hata staha hana na juu ya kichambo chote hicho
still kamuacha mwisho anamwambia tena usijishaue naoa karibuni.
sasa shogangu anasema anarudi kwao safari ya nje imeishia hapo anataka Talaka nimemwambia
nimapema sana ila wanaume wanaume wanaumeeeeeeeee sio vizuri kumtupia mkeo au G/F wako maneno kwa kosa dogo na mwanamme humuita mkewe kwa mahaba ukamuliza sababu
siokumtolea maneno wanaume tafadhali wenye tabia hii wacheni mnawaumiza moyo wenzenu.
Siungi mkono huo unyanya saji ila kuna sababu zaidi ya hiyo!Wewe unatuficha badhi ya ukweli toka kwa huyo shoga yako!Habari Waungwana,
Kuna jambo limenikera sana, rafiki yangu bahati mbaya amechelewa kufika airport due to traffic.
ikabidi amepigie mumewe cm amuelezee kua amechelewa na ndege imemuacha,bwana yule
bila kutaka kujua amemtukana mkewe na kumwambia asuridi nyumbani yeye anamtegemea nyumbani baada ya 14days sio chini ya hapo na asijaribu kurudi nyumbani atakijua kilichomtoa
kanga manyoya.
Imebidi anieleze yalio jiri nikamwambia njoo nyumbani kwanza halafu tutaongea na mumeo huenda hasira tuu na stress za kazi, shoga kafika nyumbani akampigia kua yupo kwangu jamaa
akaja nikajua anakuja kumchukua mkewe Looo bila aibu kaanza kumtukana tena mwanamme yule ana chamba kama kalelewa na mashoga hata staha hana na juu ya kichambo chote hicho
still kamuacha mwisho anamwambia tena usijishaue naoa karibuni.
sasa shogangu anasema anarudi kwao safari ya nje imeishia hapo anataka Talaka nimemwambia
nimapema sana ila wanaume wanaume wanaumeeeeeeeee sio vizuri kumtupia mkeo au G/F wako maneno kwa kosa dogo na mwanamme humuita mkewe kwa mahaba ukamuliza sababu
siokumtolea maneno wanaume tafadhali wenye tabia hii wacheni mnawaumiza moyo wenzenu.
Wewe umefikilia kama nilivyofikiria hawa mashoga wanakuaga na akili zaoSiungi mkono huo unyanya saji ila kuna sababu zaidi ya hiyo!Wewe unatuficha badhi ya ukweli toka kwa huyo shoga yako!
Kwanza hiyo safari ya ndege ilkuwa ya kwenda wapi na kufanya nini?
Nani kagaramikia hiyo safari?
Mahusiano na mumewe kabla ya safari yalikuwa je?
Aliondokea wapi kwenda airport?
Kwa nini hakubebwa na mumewe?
Hivi hata kama ni wewe (sijui kama umeolew) inaingia akilini kwa haraka akupigie tu simu kutoka airport kwamba nimechelewa ndege baada ya kukwama kwenye traffic jam wakati wote mlifahamu uwepo wa hii safari kwa siku kadhaa nyuma!
Haiwezekani tukakuelewa kiurahisi hivyo!!!!!!!!
Siungi mkono huo unyanya saji ila kuna sababu zaidi ya hiyo!Wewe unatuficha badhi ya ukweli toka kwa huyo shoga yako!
Kwanza hiyo safari ya ndege ilkuwa ya kwenda wapi na kufanya nini?
Nani kagaramikia hiyo safari?
Mahusiano na mumewe kabla ya safari yalikuwa je?
Aliondokea wapi kwenda airport?
Kwa nini hakubebwa na mumewe?
Hivi hata kama ni wewe (sijui kama umeolew) inaingia akilini kwa haraka akupigie tu simu kutoka airport kwamba nimechelewa ndege baada ya kukwama kwenye traffic jam wakati wote mlifahamu uwepo wa hii safari kwa siku kadhaa nyuma!
Haiwezekani tukakuelewa kiurahisi hivyo!!!!!!!!
Huyi mwanaume wa kizaramo kabisa. Unachamba mkeo na matusi ju kiza ndege ameachwa na ndege kweli?
Hata mie naona manake amechambaaaaaa kama wale wanawake wa uswahilini bele ya rafiki wa mkeo na watoto shame on him.Huyo atakua alilimbikiza kesi za nyuma, sasa akapata pa kutolea mihasira bila kujua anajidharirisha, mwambie bibie a relax asifanya maamuzi ya kukurupuka, talaka hazina maana aisee
Hpn dada yngu huyo rafiki yko kutakuwa kuna mambo amekufisha sina hakika km ni kuchelewa ndege kutakuwa kuna vitu vingine nyuma yke tatizo wanawake mmekuwa wajuaji wa M-bishi amtaki kuelezwa jamaa itakuwa amechoka na vitu km hivyo...Habari Waungwana,
Kuna jambo limenikera sana, rafiki yangu bahati mbaya amechelewa kufika airport due to traffic.
ikabidi amepigie mumewe cm amuelezee kua amechelewa na ndege imemuacha,bwana yule
bila kutaka kujua amemtukana mkewe na kumwambia asuridi nyumbani yeye anamtegemea nyumbani baada ya 14days sio chini ya hapo na asijaribu kurudi nyumbani atakijua kilichomtoa
kanga manyoya.
Imebidi anieleze yalio jiri nikamwambia njoo nyumbani kwanza halafu tutaongea na mumeo huenda hasira tuu na stress za kazi, shoga kafika nyumbani akampigia kua yupo kwangu jamaa
akaja nikajua anakuja kumchukua mkewe Looo bila aibu kaanza kumtukana tena mwanamme yule ana chamba kama kalelewa na mashoga hata staha hana na juu ya kichambo chote hicho
still kamuacha mwisho anamwambia tena usijishaue naoa karibuni.
sasa shogangu anasema anarudi kwao safari ya nje imeishia hapo anataka Talaka nimemwambia
nimapema sana ila wanaume wanaume wanaumeeeeeeeee sio vizuri kumtupia mkeo au G/F wako maneno kwa kosa dogo na mwanamme humuita mkewe kwa mahaba ukamuliza sababu
siokumtolea maneno wanaume tafadhali wenye tabia hii wacheni mnawaumiza moyo wenzenu.
Kilichomkera jamaa ni kupoteza hela kizembe, si ajabu huyo dada kachelewa wakati wa kujipodoa
Nisawa huenda ikawa hivyo ila angefanya hivyo nyumbani au wakiwa wawili why mbele za watu? mie imeniuma sana najiuliza anamuonaje mkewe?Hpn dada yngu huyo rafiki yko kutakuwa kuna mambo amekufisha sina hakika km ni kuchelewa ndege kutakuwa kuna vitu vingine nyuma yke tatizo wanawake mmekuwa wajuaji wa M-bishi amtaki kuelezwa jamaa itakuwa amechoka na vitu km hivyo...
kuchoka wanaume wengi tuna tatizo la kuvumilia vituko muda mrefu sema ukisema basi inatosha ndio matokeo yanakuwa km hayo niamini ndugu yngu rafiki yko amekuficha mumewe sio kichaa ila amechoka usikute ndege ilikuwa inaondoka saa sita mchana na toka mbili asbh anakumbusha jitaidi utoke mapema foleni nn lkn ndugu yko ubishi na maneno dharau juu hlf uchelewe kweli ndege unategemea majibu gani...Nisa huenda ikawa hivyo ila angefanya hivyo nyumbani au wakiwa wawili why mbele za watu? mie imeniuma sana najiuliza anamuonaje mkewe?
Inshallah ila huyu mwanamke nimemwambia astahmili manake sio madogo.Hapo ukute jamaa ndo katoa hela ya safari
Kwa nini asiwake
Pia jua wanajuana hao
Hakuna kosa kwa wote wataelewana tu
kuchoka wanaume wengi tuna tatizo la kuvumilia vituko muda mrefu sema ukisema basi inatosha ndio matokeo yanakuwa km hayo niamini ndugu yngu rafiki yko amekuficha mumewe sio kichaa ila amechoka usikute ndege ilikuwa inaondoka saa sita mchana na toka mbili asbh anakumbusha jitaidi utoke mapema foleni nn lkn ndugu yko ubishi na maneno dharau juu hlf uchelewe kweli ndege unategemea majibu gani...
hahahahaah sasa si nisiku moja tuu kelele hizo zanini jamani?Jamaa alikuwa na ahadi yake mpya sasa imeharibika ndo maana amechanganyikiwa