Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

Mwanamme Heshimu mkeo/GF wako

Mkuu ni sawa kukasirika ila sio kumtolea maneno kiyasi kile bila hata aibu hana.
Ipo siku utanielewa uwezi kuwa unamueleza mtu mzima kitu kimoja kwa miaka 3 bila mabadiliko yyote lazima utachoka tu kilichopo hapo Shemeji yko uvumilivu umefika kikomo.
 
Yeye nyumbani kwake alikuwa hakujui!!?? Angerudi aone jamaa kama angemtimua mpaka hizo 14 days ziishe. Mke wa mtu unaenda kulala kwa rafiki!?

Mkuu hujanielewa, baada ya kufika Airport counter imeshafungwa ameomba wamekata,ikabidi ampigie mumewe kumueleza kua amechelewa ndege ndio mume akaanza kuwaka nakumwambia usirudi wapi utaenda utajua wewe.
 
Maskini. Kama namuona dada wa watu anavyohaha kusikia ndoa hamna na mume anaoa.

Hapo hakuna ndoa wala hakuna cha kusikitikia labda kuachwa na ndege tu.

Wanaume wengine ni headache. They are just frogs you gotta kiss before you get to your prince.

Inasikitisha lakini kwa nilivyo muona yule mwanamme kwa haraka haraka sio mwanamme mwenye dhamana kwa mwanamke ila ni shogangu siwezi kumwambia nimemwambia astahmili tuu mengine ajiongeze mwenyewe.
 
Sasa kuchelewa ndege si unaongeza dollar 50 mpaka 100 unapata ticket nyingine ya kesho yake mbona siyo big dill ata! Sema jamaa anaonekana kama ela kakopa na kampa mkeo afanye bishara mke ni mzembe anachezea ela ya mumewe bila uchungu na halo hii ya biashara ni ngumu sana unamadeni mia kidogo alafu na madead stock Kariakoo bao alafu unasikia mtu anakwambia nimechelewa ndege kweli jaman usipate hasira kweli, unakuta mtu kaondoka nyumbani tokea asbuhuh ndege za china zinaondoka saa kumi njion mpaka saa kumi na mbili jion sasa mtu anakwambia kachelewa utaelewa kweli au ndio anapita kwa mchepuko kidogo then safar coz hawa wafanya bisharawa china mh! Ni noma coz huko china hotel kama mpo chuo kikuu coz mnakaa kwa nchi utakuta watz kibao sasa hapo wake za watu wavyo liwa kama first year vile chuo
 
Inasikitisha lakini kwa nilivyo muona yule mwanamme kwa haraka haraka sio mwanamme mwenye dhamana kwa mwanamke ila ni shogangu siwezi kumwambia nimemwambia astahmili tuu mengine ajiongeze mwenyewe.

Binafsi ushauri ambao ningempa rafiki yangu ni ushauri ambao ningeufata mi mwenyewe.

Kwanini usimwambie ukweli?
 
Binafsi ushauri ambao ningempa rafiki yangu ni ushauri ambao ningeufata mi mwenyewe.

Kwanini usimwambie ukweli?
Mkuu unadhani si wish kumwambia ukweli? ila sitaki kua adui wa ndoa yake na wala kua sababu,ningekua mimi ningeweza kujiamulia ila mtu mwengine sio sawa kumwabia ningekua mimi mbona angesha niwacha zamani,wacha ajiongeze.
 
Unaweza kuta alichelewa ndege sababu ya uzembe, tatizo mkilegezewa sana mnabweteka. Baadhi ya wanaume wanakuwa strict sababu akili zenu wengi hamjielewi
 
Huyo alikua anataka kufikisha ujumbe wa kuoa akatafuta chanzo....mpe pole bi dada ila Wanaume looool kazi ipo
 
Unaweza kuta alichelewa ndege sababu ya uzembe, tatizo mkilegezewa sana mnabweteka. Baadhi ya wanaume wanakuwa strict sababu akili zenu wengi hamjielewi

Jamani hata kama ndio kizembe asigombe jamani, mie mbona nilichelewa ndege wakati nikiwa Duty free nilipofika kwenye Boarding gate flt imesha fungwa, nikampigia cm nikamwambia nime miss flt kasema oooh mke wangu bora ulivyokua hujaenda leo nta enjoy na wewe,sio kama alifurahi no na nilijua kama nikifika home lazima atasema.
 
Unaachwaje na ndege? Toa sababu za kuachwa na ndege.

Mku mie niliachwa mara ya kwanza nilikua nafanya shopping duty free sasa ilikua flight ya usiku hata sijui ilikuwaje na watoto wananambia Mom its 0130hrs mie hata sijui nilisikia saangapi nafika kwenye gate 0210 ndege inaruka 0220hrs nilijiona mzembe
ilibidi nilipe date change za sote watu 8 roho iliniuma, na mara ya pili walichange gate sasa hata sijasikia tangazo nimefika kwenye gate bado 10minutes wafunge,na kutoka gate nilokuwepo mpaka gate wanako board 15-20 minutes walk,baada ya hapo niko makini.
 
Sasa kuchelewa ndege si unaongeza dollar 50 mpaka 100 unapata ticket nyingine ya kesho yake mbona siyo big dill ata! Sema jamaa anaonekana kama ela kakopa na kampa mkeo afanye bishara mke ni mzembe anachezea ela ya mumewe bila uchungu na halo hii ya biashara ni ngumu sana unamadeni mia kidogo alafu na madead stock Kariakoo bao alafu unasikia mtu anakwambia nimechelewa ndege kweli jaman usipate hasira kweli, unakuta mtu kaondoka nyumbani tokea asbuhuh ndege za china zinaondoka saa kumi njion mpaka saa kumi na mbili jion sasa mtu anakwambia kachelewa utaelewa kweli au ndio anapita kwa mchepuko kidogo then safar coz hawa wafanya bisharawa china mh! Ni noma coz huko china hotel kama mpo chuo kikuu coz mnakaa kwa nchi utakuta watz kibao sasa hapo wake za watu wavyo liwa kama first year vile chuo
\
Huenda amekasirika kwa hivyo ila asitukane wala ku tolea maneno mbele za watu sio sawa.
 
Mkuu unadhani si wish kumwambia ukweli? ila sitaki kua adui wa ndoa yake na wala kua sababu,ningekua mimi ningeweza kujiamulia ila mtu mwengine sio sawa kumwabia ningekua mimi mbona angesha niwacha zamani,wacha ajiongeze.
Very true lakini.

Aisee ushoga mzigo. Kuna watu wakizama kwenye mapenzi wanakuwaga maboya sana. lol
 
Back
Top Bottom