NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,397
- Thread starter
- #121
Very true lakini.
Aisee ushoga mzigo. Kuna watu wakizama kwenye mapenzi wanakuwaga maboya sana. lol
Hili nimejifunza kutokana na kosa,nilimnwambi wifi yangu kwanini unamuachia Bro anasafiri kila mwezi na wewe ni mke sasa usikubali akakuzidi kete na nahisi atakua na affair duuuuuuuuuu bibi yule wamegombana siku aliopewa mapenzi moto sianiseme
uso ulikua mdogooooooooooo nilijua kama umbea si kazi, kazi kusutwa baada ya hapo hata nikimuona bro na mwanamke najifanya kama sijaona au simjui,mdada yule alimfumania akaja wifi sijui nikamwambia apana hawezo kuchukua mwanamke zaidi yako tulia tuu.