Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
Kweli?Vibaya jamani kwanza mwanamke ukimpenda ndio umemfunga ivoo anakua hataki mwengine.
Kweli?Vibaya jamani kwanza mwanamke ukimpenda ndio umemfunga ivoo anakua hataki mwengine.
Ila mwanamme anaongea huyu anachamba balaa.Duuh! Aiseeee.
Kuna baadhi ya wanaume ni changamoto jamaani lol.
Enhe..Kweli?
Mapema kulaumu mwanamme kwa hili. Tumlaumu tu kwa kumwaibisha mbele ya shosti.Duuh! Aiseeee.
Kuna baadhi ya wanaume ni changamoto jamaani lol.
Huenda jamaaa ana hasira za gharama kukata air ticket nyingineDuuh! Aiseeee.
Kuna baadhi ya wanaume ni changamoto jamaani lol.
Mwanamme kama hivi bora kukosa.inasikitisha kukosa utu.....
Biashara,na huyu mdada ni wale kila kitu lazima amshirikishe sasa imemtokea puani,ila mwanamme hana hata aibu.Kwa hiyo mwanamke alikuwa anaenda vacation , kutembea tu au biashara!
maana jamaa kawaka kama alikuwa na miadi na mama ingine.
You see now.Biashara,na huyu mdada ni wale kila kitu lazima amshirikishe sasa imemtokea puani,ila mwanamme hana hata aibu.
Biashara,na huyu mdada ni wale kila kitu lazima amshirikishe sasa imemtokea puani,ila mwanamme hana hata aibu.
Mkuu ni sawa labda amekukera lakini sio kitu kikubwa kiasi chakumwambia sirudi nyumbani, mie nachelewa ndege saanyengine nikiwa duty free na mumewangu hagombi anasema kila linalo kuepuka lina kheir na wewe,hivi huyu mwanamme anajua labda mwenyezi mungu anamuepusha nini mkewe?Huenda jamaaa ana hasira za gharama kukata air ticket nyingine
It is the beginning of the end, kama hamtaki, asiforce kupendwa huenda huenda mwanaume yule haoni tena thamani ya kua na mwanamke huyo , amepata mwingine, cha kufanya amtafte kaka yake amsindikize akachukue vitu vyake na amtakie kila la kher mwanaume yule
Sikulazimishi kuelewa mkuu wala kuamini,ruksa unaweza kupita bila hata kuweka neno,itakua pia umechangia.ulichoandika hakiendani na uhalisia wa tukio lenyewe
Na sio mdogo ivoo 43 ila mtu mzima ovyo.Sio aibu tu hana akili pia.
Mpw pole kumbuka tupo sayari dunia hii najua maumivu anayopata ,ni majaribu tu asimame imara atavuka vizingiti nae atapata faraja na tumain la kudumuNimemwambia asichukue hasira siunajua wanaume sometimes wanakua na wazimu wao,ila amelia sanaaa she is very hard working ila huyu mwanamme mwehu sanaaa.
Tupo tulioelewaSikulazimishi kuelewa mkuu wala kuamini,ruksa unaweza kupita bila hata kuweka neno,itakua pia umechangia.