Mwanamke ...

Mwanamke ...

Hivi huu werevu wa mwanamke unaozungumziwa hapa ni werevu wa kumfanyia services mwanaume tu??? Hivi mnadhani wanawake ni vyumaaaa? Mtu aende kazini kama wewe, arudi akuvue soski sijui aruke mgongoni aku massage then akapike na msosi akutengee na ikibidi akuogeshe kabisaaaa na akuwekee naniliu kwenye kisosi huko bafuni zisiguse chini? Akufulie sujui, akupigie pasi na kila kitu wewe kazi ku watch tv tu? Hivi wanaume wa hivI hamna HAYA? HUFIKURII NA MWENZIO ANACHOKA? HOW COME ITS ALL ABOUT YOU, YOU AND YOU kupumzisha ur a$# wakati mwenzio anaumia?! What a shame! Wewe ukiruka mgongoni kwake ukam massage sio mwanaume mwerevu?! Jumamosi mkafua wote unaona utakufa?! Halafu na hela zake umlie all in the name ya "kusaidiana"?! Hamna haya wanaume wa hivi mtawavunja wake zenu kwa kazi ajirini wafanyakazi kama mikono yenu imekatika! Kuzifanya hizo kazi wenyewe hamuwezi mnadhani ndo rahisi kwetu. Akija kitandani akakwambia amechoka utadai mvivu. Hizi si kazi za mke!
 
Sasa mm nikifanya hayo yooote na yeye anafanya nn
Doesn't applicable in real life ya sasa mkuu
 
Aiseeee.. Umetisha mkuu hapo kwa mke mwerevu, yote 9 lakini mm ni heri mke au mchumba awe na michepuko, kiburi na dharau kuliko awe mpiga MIZINGA, aiseee mi nachukia wapiga mizinga koz wanarudisha nyuma kimaendeleo.
 
Yanawezekana yote inategemea na tabia ya mwanaume,hunijali hujui majukumu yako wala nafasi yako kwangu kama mwanaume then nifanye hayo yote kwako,kwa kuwa nauogopa au unanitawala sana?
 
Mawazo kama haya yanatisha. Get a house helper hiyo sio kazi ya mke kufanya yeye kwa nyingi ya hizo. She is your better half. Huwezi kumfanyia hivyo dadangu wala mwanangu moto usiwake.

Yawezekana pia hajaoa sasa ndio mana anafikiri alivyifikiri
 
hiyo ni ndoa au utumwani misri,mi atasubiri sana kama haonyeshi ushirikiano thabiti hadi jikoni ataingia loh yote afanyiwe yeye tu,tena kila siku......endeleeni kudanganyana hapa na egoism yenu.
 
Mkifanyiwa yote hayo nanyi mnatenda yapi kama shukraan? Au ndo alimradi kama sheria tu zitekelezwe?

Isije kuwa wataka ufanyiwe yote ilhali wewe mlevi kupindukia,jeuri na kibri,siku ulomnunulia zawadi walau khanga mkeo huijui.........hayo uloandika hapo chini wala hayana ugumu wowote kutekeleza ila tu sometimes wengine mnawakatisha tamaa ya kuwatendea mengi mazuri zaidi ya hayo.....

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Ahahajahajahahahahahahaha kwa wema uuuupi mnaowafanyia hao wanawake were vu?

Thank you! Na kwa hela ipi wanayowatunzia wake zao? ptuuuuuuuuu..... uvuliwe soksi umekuja na dollars au unarudi na jasho na madeni?
 
So sad kwamba hata sisi tunatafuta mwanaume mwerevu wa kumfanyia hayo hatumuoni!
 
Back
Top Bottom