hapo kwa mwerevu nikipigwa mzinga wa shoping ya Dubai ntakataa kweli.............!!!!!!!!?
unarudi toka kazini unakuta amejilaza kwny sofa headphons masikio yote na kismat phone yupo fb, watsap mda wote, hana time na ww, chakula anakwambia angalia ezani km wameshakutengea chakula
Yaani wanaume mnajipenda!!!
Wanajipenda kama njiwa vile, kula chini kulala juu....
Hayo yooote nafanya sa ngapi, kazini siendi?
tutakula maua haki a mama ili baby avuliwe soksi
unarudi toka kazini unakuta amejilaza kwny sofa headphons masikio yote na kismat phone yupo fb, watsap mda wote, hana time na ww, chakula anakwambia angalia ezani km wameshakutengea chakula