Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,501
Hahaha, usikute umeenda mbagala charambe afu unasema mjini kuna shida ya maji, lol
hivi.maji yawe ya shida.kiasi cha kushindwa kuoga? Si bora kurudi bush kuoga mtoni? Ukikaa town ukashindwa kuafford kuoga na kunywa soda ni bora ukajipange upyaaa!
Mimi nilizungumzia usafi wa hali ya juu.
I'm not just talking about bare-bones hygiene.
Sijui umenielewa?