Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,525
afu cha kwako??
Lakini je, una ndoto kubwa kubwa??
Maana wakati mwingine ukiwa majukumu makubwa yanakufanya uwe na ndoto kubwa pia.
cha kwangu changu na nitaongezea kununua nguo za ndani, sabuni, mafuta ya kupaka, chumvi, pilipili na viungo vya pilau, pencils, diaries, flowers, greetings and post cards, perfumes na udi, night dresses, mashuka na vyombo jikoni.
Kuhusu kuota, sijawahi kuota na kama ninaota basi sikumbuki nilichoota.