Mwanamke wa kirangi

Status
Not open for further replies.
Kwa msaada wa kumpata huyu bwana nitakudanganya. Ila nakushauri uanzishe thread mpya yenye kichwa cha habari "Namtafuta Bw. Mwigulu Nchemba,ili anisaidie ushauri jinsi ya kupata MKE wa Kirangi". Kila la kheri mkuu.

Hii ndiyo jamii forums bwana! Swali moja, majibu 100!
 

mmh, hata kama ni kweli; haya maneno yanastahili kuletwa hapa JF? Watch your tongue dada @amu!
 
mmh, hata kama ni kweli; haya maneno yanastahili kuletwa hapa JF? Watch your tongue dada @amu!
kataja kabisa mpaka mhusika...nahisi lazima pachimbike bila jembe huko
 


si wanawake wa makabila yote wapo hivo jamani. Na hata wanaume wa makabila yote wapo hivo pia.
Ni kulinda heshma na kuto mumiza mwenziwake.

hilo la kumwambia rafiki na kuvua vua chupi ni tabia ya watu mapepe, na kila kabila watu kama hawa wapo
 
si wanawake wa makabila yote wapo hivo jamani. Na hata wanaume wa makabila yote wapo hivo pia.
Ni kulinda heshma na kuto mumiza mwenziwake.

hilo la kumwambia rafiki na kuvua vua chupi ni tabia ya watu mapepe, na kila kabila watu kama hawa wapo
labda sisi tumezidi ndio maana tunasemwa!
 
Hii thread nahisi kama inakaribia kunivunjia ndoa maana na mme wangu naye yumo humu JF....kila siku naona anabadili tabia tofauti na zamani...sikui kapitia hii thread? warangi tuna kibarua kweli...

ucjal dada we kua mwaminifu na mtiifu hayo mengne yasikukatishe tamaa n tabia, hulka na silka za mtu mwenyew hta km na warang nao n mojawapo lakn na makabila mengne nayo yamo.
 
Ndugu zangu mwenzenu nampango wa kuoa ila napenda kujua tabia za mwanamke wa kirangi.naomba ushauli wenu
kwanza kabisa wana mvuto,wasafi,wamefundwa wakafundika.na sifa kibao njema,kama umemchunguza na ukaona ana tabia njema na anakufaa chukua chombo!
 
ucjal dada we kua mwaminifu na mtiifu hayo mengne yasikukatishe tamaa n tabia, hulka na silka za mtu mwenyew hta km na warang nao n mojawapo lakn na makabila mengne nayo yamo.
warangi tupo juu ye soya ucjali kama kabadilika ana lingine na sio thread coz kabila halihusiani na tabia ya mtu bwana!
 
warangi tupo juu ye soya ucjali kama kabadilika ana lingine na sio thread coz kabila halihusiani na tabia ya mtu bwana!
mfariji mwenzio anaachika vile kama mchezo tu! labda na yeye hajatulia huko ndani kwake...sasa ukiongezea na hii thread lazima jamaa aone kama kuna ukweli fulani vile...kama vipi jirekebisheni tu azawaizi itakuwa ndivyosivyo passion lady!
 
Last edited by a moderator:
warangi tupo juu ye soya ucjali kama kabadilika ana lingine na sio thread coz kabila halihusiani na tabia ya mtu bwana!
mfariji mwenzio anaachika vile kama mchezo tu! labda na yeye hajatulia huko ndani kwake...sasa ukiongezea na hii thread lazima jamaa aone kama kuna ukweli fulani vile...kama vipi jirekebisheni tu azawaizi itakuwa ndivyosivyo passion lady!
 
Last edited by a moderator:
mfariji mwenzio anaachika vile kama mchezo tu! labda na yeye hajatulia huko ndani kwake...sasa ukiongezea na hii thread lazima jamaa aone kama kuna ukweli fulani vile...kama vipi jirekebisheni tu azawaizi itakuwa ndivyosivyo passion lady!

mtego wa noti hiyo ni dhana potofu,kabila halihusiani na tabia kabisa,mbona wengi wameolewa na wapo kwny ndoa zao na ni wavumilivu sana?tabia ya mtu ni ya mtu tu na haibadiliki pia huwezi muhukumu mtu kisa kabila,mm binafsi nachukizwa na hilo!tuache kuhukumu kisa ni kabila flani
 
wewe kijana! Taratibu na maneno yako yasiyo na vipimo!
Hii kauli yako sijaipenda hata kidogo!
Iombe radhi kabla ulilotaja.

wala usitoke povu, most of them wako hivyo hawajui kusema hapana, na akiolewa kwenye ukoo wenu basi atahakikisha kawagaia wote, ndiyo maana wanaitwa mke wetu, si mke wangu,. Mimi nahisi huwa wanawadudu huko chini wanatekenya kila saa ndiyo maana wanapenda sana dushelele.
 
kuna mzee mmoja wa kirangi aliwai kuniambia kuwa ukipata mrangi mwenye tabia nzuri utatamani ndugu zako waoe au waolewe na mrangi ila ukipata kimeo utajuta na utotamani kuoa mrangi wa wala kusikia hiloa kabila
 
naona unayosema kama ukweli hivi...unawapa faraja akina Ye Soya na passion lady maana inaonekana ndoazao ziko mashakani kutokana na hii thread.. Ye Soya anasema mme wake kabadilika baada ya kufuatilia hii thread inayomwaga za ndani kuhusu mademu wa kirangi, i wish kama huyo mme angeona hii post yako huenda angebadilisha mawazo!
kuna mzee mmoja wa kirangi aliwai kuniambia kuwa ukipata mrangi mwenye tabia nzuri utatamani ndugu zako waoe au waolewe na mrangi ila ukipata kimeo utajuta na utotamani kuoa mrangi wa wala kusikia hiloa kabila
 
Last edited by a moderator:
una maneno makali......ni wote au ni baadhi tu wenye tabia hizo?
 
una maneno makali......ni wote au ni baadhi tu wenye tabia hizo? ina maana ukiwa naye tu jiandae kuchangia na ndugu...wanafanya kwa siri au mpaka kila mtu atajua?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…