Mwanamke wa hivi mnamtafsirije?

Mwanamke wa hivi mnamtafsirije?

ndonger

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2018
Posts
898
Reaction score
1,649
Shalom shalom

Nna mahusiano na binti huyu karibu mwaka wa 4 huu, sifa za huyu binti;

1. Simpi hela, mara moja moja sana tena ni vihela vidogo mno.
2. Yeye ndio anakuja kwangu mara zote mimi siendi kwao.
3. Ananiheshimu sana na ananiogopa akiona kaniudhi.
4. Muda wowote naotaka aje kwangu anakuja.
5. Sijawai mnunilia zawadi yoyote, ila yeye karibu nusu ya nguo zangu ameninunulia yeye, hadi viatu.
6. Sometime anakuja na vifurushi vya misosi hapa kwangu anapika tunakula.
7. Na enjoy sana sex na yeye sababu anaushirikiano wa hali ya juu, maji kama yote, hadi naniliu zangu anameza(mtu asiekupenda sana hawezi fanya hivi).
8. Ninaishi mbali na kwao, lakini yeye anakuja kwangu muda ninao mhitaji.
9. Mimi ndiyo hu-attempt kumuacha mara nyingi, hata week nzima ila yeye hajawahi. Huwa analia sana napotaka mwacha.
10. Anawish kuzaa na mimI kila kukicha.

Mimi ndio nina control haya mahusiano na nina muhenyesha sana, yeye yupo tu namimi. Nime comfirm kuwa huyu mwanamke ananipenda kweli.

Wakuu kama mlikua mnataka tafsiri sahihi ya mwanamke anaependa basi ndiyo hii, msiumbuke sana Mwanamke akiwa hivi 200% ujue anakupenda sana.

Huwa nawaza ni hack simu yake nitafute sababu za kugombana nae, ila roho inasita kwa ambavyo ananifanyia naona kama sitamtendea haki. Au mnasemaje, ni hack simu yake wakuu ili nigundue nini?

Vangosha.
 
Shalom shalom

Nna mahusiano na bint huyu karibiay mwaka wa 4 huu sifa za huyu bint

1.simp hela.. mara moja moja sana tena ni vihela vidogo mno
2.yeye ndio anakuja kwangu mara zote mim siendag kwao
3.ananiheshimu sanaa na ananiogopa akiona kaniudh
4.muda wowote naotaka aje kwangu anakuja
5.sijawai mnunilia zawad yoyote ila yeye karib nusu ya nguo zangu ameninunulia yeye . Had viatu
6.sometime anakuja na vifurush vya misos hapa kwangu anapika tunakula
7.na enjoy sana s. Ex nayeye sabab anaushirikiano wa hali ya juu.. maji kama yote..had naniliu zangu anameza(mtu asiekupenda sana hawez fanya hvi)
8.nnaishi mbal na kwao lakin yeye anakuja kwangu muda naomuhitaj
9.mim ndio hu attempt kumuacha mara nying hta week nzima ila yeye hajawai .. huwa analia sana napotaka mwacha
10.etc etc
11.anawish kuzaa namim kila kukicha

Mim ndio nna control haya mahusiano na nna muhenyesha sana.. yeye yupo tu namim


Nmeconfirm kuwa huyu mwanamke ananipenda kwel..

Wakuu kama mlikua mnataka tafsiri sahih ya mwanamke anaependa bas ndio hii msiumbuke sana.. mwanamke akiwa hiv. 200% ujue anakupenda sana

Nawazaga ni hack simu yake nitafte sabab za kugombana nae ila roho inasita kwa ambayo ananifanyia naona kama sitamtendea haki.. au mnasemaje ni hack simu yake wakuu.. ili nigundue nn

Vangosha

Sijaelewa unachotaka ni nini baada ya maelezo yote hayo



Hiyo sentence ya mwisho inaonyesha ulivyo mbinafsi Wewe
 
Huyo anakuandaa kisaikolojia I'll baadae aje akupige tukio Moja hatari Sana ambalo halitakuacha salama.

When the deal is too good,think twice.

Ipo siku atakutumia message ya hivi "Kuanzia Leo Mimi na wewe Basi,nenda kapime Ukimwi na uanze kumeza dawa za ARV's Mara Moja"
🏃🏃🏃
 
Huyo anakuandaa kisaikolojia I'll baadae aje akupige tukio Moja hatari Sana ambalo halitakuacha salama.

When the deal is too good,think twice.

Ipo siku atakutumia message ya hivi "Kuanzia Leo Mimi na wewe Basi,nenda kapime Ukimwi na uanze kumeza dawa za ARV's Mara Moja"
🏃🏃🏃
nikawaza she’s too good to be true, ila watu tuko tofauti...sijui kwa vile nimezoea matukio, demu akiwa kitonga sana lazima nijiulize kwanza kuna usalama?
 
Kwahiyo unajisifu kuwa wewe ni Marioo uliekubuhu? Kuna kipindi ni wajibu wa mwanaume kumuhonga mpenzi wake. Sasa unajisifia kupewa tu, ushawahi jiuliza anakotoa hivyo anavyokupa.
Ukute kuna mpenzi wake mwingine asiempenda anakuhudumieni wote wawili. Subiri siku agundue aje kudai fadhila kwako.
 
Back
Top Bottom