Mwanamke wa hivi mnamtafsirije?

Mwanamke wa hivi mnamtafsirije?

K
Hajui watoto wa kike huyo mimi kuna demu nlikuwa nae miaka 8 kila mtu alimjua lkn nilikuja kupigwa tukio iloo sitakuja kuamini mwanamke tena...ilichukuwa miaka mi 4 kujakupoa still nikikumbuka naumia mpk leo but maisha yaendelea siku hizi mguu mmoja ndani mwingne njee
Hawa viumbe wa Mungu haitakiw uzame sanaa...na pia matarajio yasiwe ya juu sanaa...ni kucheza tu nafac yako...akiamua kwenda unachukua mwngne mnaendelea kula raha
 
Kama huna mpango nae mchane live au anza kupunguza speed ajiongeze. Ishu ya kupendwa ni complicated anaweza fanya yote akipalilia ndoa. Akapata tu ndoa akabadilika, wanawake wote walio mawindoni ufanya hivyo kupretend, kama ataendelea kufanya hivyo baada ya nyege kuisha ndo umpe maksi ya kwamba anakupenda. Ishu ya kukununulia vitu anajua zitarudi akishaipata ndoa.
 
Mwanamke/mwanaume yeyeto aliye single hawezi kuwa na mtu mmoja sababu still yupo mawindoni. SAsa kama 87% ya wanandoa still Wana michepuko sembuse mtu ambae ajao au kuolewa.
 
Ni suala la muda tu kabla kibao hakijageuka.
 
Hureeey
Kutoka umezaoiwa Hadi kuja kukutana nae Ni miaka mingapi. Sasa sio muda ataondoka kwako.
Enjoy moments na zishikilie, zikija kuwa memories umekwisha.
FB_IMG_16555905320204960.jpg
 
Back
Top Bottom