Thubutu nikileta mazao au mifugo yangu pesa nitayoondoka nayo inatosha kununua mbagala yot utaniambia ni wewe kula kulala pesa naisaka na kuitumia najua kuja tu dar kitu SCANIA R420 Kinachanja lami
Na makao makuu ya nchi tunahamishia dodoma yaani nikitoka mwanza na mifugo yangu mwisho dodoma tuone nyama na viazi vya chips nani atawauzia mpaka mtie adabu muendeshe matrekta muanzishe kilimo
nsanzu usitake nicheke bure makao makuu dodoma halafu serikali yote iko dar hayo ni makao makuu ya nchi au kijiji? Halafu sasa hivi ndio wanasema serikali ihamie dodoma
nsanzu usitake nicheke bure makao makuu dodoma halafu serikali yote iko dar hayo ni makao makuu ya nchi au kijiji? Halafu sasa hivi ndio wanasema serikali ihamie dodoma
Sawa tunakubali wanawake wa dar warembo tena sio wazuri maana ukitoa izo nywere bandia,kucha bandia,makeup , chuchu za jeki na makalio ya kununua kwisha habari !! Mikoani natural bwana !! Shida ya wanaume wa dar hawatofautiani sana na Dada zao
Sawa tunakubali wanawake wa dar warembo tena sio wazuri maana ukitoa izo nywere bandia,kucha bandia,makeup , chuchu za jeki na makalio ya kununua kwisha habari !! Mikoani natural bwana !! Shida ya wanaume wa dar hawatofautiani sana na Dada zao