Mwanamke wa Dar

Thubutu nikileta mazao au mifugo yangu pesa nitayoondoka nayo inatosha kununua mbagala yot utaniambia ni wewe kula kulala pesa naisaka na kuitumia najua kuja tu dar kitu SCANIA R420 Kinachanja lami
 
Na makao makuu ya nchi tunahamishia dodoma yaani nikitoka mwanza na mifugo yangu mwisho dodoma tuone nyama na viazi vya chips nani atawauzia mpaka mtie adabu muendeshe matrekta muanzishe kilimo
Lini makao makuu ya nchi yaliwahi kuwa tofauti na Dodoma?
 
nsanzu usitake nicheke bure makao makuu dodoma halafu serikali yote iko dar hayo ni makao makuu ya nchi au kijiji? Halafu sasa hivi ndio wanasema serikali ihamie dodoma
 
nsanzu usitake nicheke bure makao makuu dodoma halafu serikali yote iko dar hayo ni makao makuu ya nchi au kijiji? Halafu sasa hivi ndio wanasema serikali ihamie dodoma
Ndo uelewa wako mporipori 7bu umesoma shule ya kijiji
 
Nimesoma enzi za mwalimu hata wewe hujazaliwa magorofa yote mwanza yamenikuta nikiwa mtu mzima utaniambia nini mtoto wa juzi
 
Nimesoma enzi za mwalimu hata wewe hujazaliwa magorofa yote mwanza yamenikuta nikiwa mtu mzima utaniambia nini mtoto wa juzi
Umubwa hata nyati anao.....muhimu maarifa
 
Wewe Bitoz nyangema unakoelekea utanifanya kesho nikusake nikutie adabu kwa sababu unaonekana mjanjamjanjas kitu nisichokipenda
 
Wewe Bitoz nyangema unakoelekea utanifanya kesho nikusake nikutie adabu kwa sababu unaonekana mjanjamjanjas kitu nisichokipenda
Mimi born town nitalingana vipi na mabushstar?
Njoo tukufanyie mission town
 
Wapi waporipori ?
Njooni muone matoto ya Joto City
 
Bitoz nyangeama uko wapi niko huku pugu naenjoy na dada zako halafu kesho narudi zangu rock city jiji la wanaume
 

Wacheki Joto City girlz

Mabushstar endeleeni kukaa maporini na kutambia kilimo + kutuita wanaume wa Dar 7bu kwenu hakuna vitu vizuri......
Mkachunge ng'ombe na kupalilia mipapai!!!

Bishoo la Joto City
The Bitoz
Sawa tunakubali wanawake wa dar warembo tena sio wazuri maana ukitoa izo nywere bandia,kucha bandia,makeup , chuchu za jeki na makalio ya kununua kwisha habari !! Mikoani natural bwana !! Shida ya wanaume wa dar hawatofautiani sana na Dada zao
 
Sawa tunakubali wanawake wa dar warembo tena sio wazuri maana ukitoa izo nywere bandia,kucha bandia,makeup , chuchu za jeki na makalio ya kununua kwisha habari !! Mikoani natural bwana !! Shida ya wanaume wa dar hawatofautiani sana na Dada zao
Na nyie waporipori hamrofautiana sana na mifugo yenu kuanzia tabia hadi akili km ng'ombe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…