Tatizo hakuna labda wewe uyaanzishe,lakini nawe hapa unaomba ushauriwe jambo gani. Ukumbuke hapa kuna watu wa aina mbali mbali,wakati mwingine shida usiitafute ila ikupate.
Mkuu umeliwa, zima moto alaka, fimbo ya mbali aiuwi nyoka baba. mwambie amie karabu na sehemu unayo fanjia kazi mkuu acha kuzubaa utaliwa/ashaliwa tayali.