Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,792
- 3,719
Daaah! Tatizo lipo tena kuubwa sana, cha kufanya muachishe kazi halafu na wewe acha kazi, mtapata muda mwingi wa kushinda nyumbani mkitazamana!
safi sana una akili sana kijana.pweint ya ukweli kabisa