Mwanamke wa benki

Daaah! Tatizo lipo tena kuubwa sana, cha kufanya muachishe kazi halafu na wewe acha kazi, mtapata muda mwingi wa kushinda nyumbani mkitazamana!

safi sana una akili sana kijana.pweint ya ukweli kabisa
 
samahani wajameni...namuuliza uyo jamaa demu wake anafanya kazi benki gani na anaitwa nani?
 
mkuu apo auna wala mchumba, kumbuka mtu unae karibu bado watu wanamega kama kawaida. mfano; mi nilikuwa totozi like you, tulipeana adi za dhati kufunga ndoa naye, kutoka fm3 alipo fika chuo 2yr SUA, akaona yeye ni bola zaidi akasema kampata mwingine uko SUA, so mimi nitafute mwengine. mi iliniuma sana kwa kunipotezea time na malengo langu for 6yrs. ushauli wangu: kama anakupenda mwambie aombe transfer aje uko unapo fanyia kazi
 
Ndio hivyo wanavyofanya ni wepesi wa kushawishika kwa noti na wanasahau wachumba zao. Mambo hayo yanatuumiza sana wanaume
 
mkuu apo auna wala mchumba, kumbuka mtu unae karibu bado watu wanamega kama kawaida. mfano; mi nilikuwa totozi like you, tulipeana adi za dhati kufunga ndoa naye, kutoka fm3 alipo fika chuo 2yr SUA, akaona yeye ni bola zaidi akasema kampata mwingine uko SUA, so mimi nitafute mwengine. mi iliniuma sana kwa kunipotezea time na malengo langu for 6yrs. ushauli wangu: kama anakupenda mwambie aombe transfer aje uko unapo fanyia kazi

huyo wa SUA alimuoa?
 
Tatizo sio umbali. Cha muhimu ni uaminifu. Kama ni umbali tu hata ukiwa nae unachapiwa tu akitaka.

Vipi lakini ww kwa umbali huo ww uko salama?
 
Nakushauri ununue data,sms na dakika kibao cuz "long distance relationship requires more data than love"
 
Wadau nishaurini je mimi nafanya kazi mbali demu wangu anafanya benki mbali pia je kuna madhara yeyote?
Unamiliki mwanamke bank na wewe nae ni mtumishi afu unauliza swali kama hili kweli?mbona kama kiwango chako cha kufikiri ni cha kijijini na si kijiji chenye hata daladala la kwenda mjini na kurudi per siku.hii ni akili ya kijiji kisicho na network hata moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom