Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,737
Mwanaume anahitaji constantly access to papuchi,nothing else lol
Hii ndio point... mm ugomvi wangu papuchi tu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mwanaume anahitaji constantly access to papuchi,nothing else lol
Kila mwwnamke ana price yake....yule wa mia siku akiikosa hiyo mia uliyokuwa unaileta mezani atakuvumilia siku tatu.
Ya tano atakuwa anaona n'gombe inayozunguka ndani ya nyumba. To me ni aheri nimcheat mwanamke anikamate nikifika nyumbani nitajua namna ya kujitetea ila sio niende nyumbani mikono mitupu maana hanielewi.
Na rebeca kilio cha wanawake wengi kwenye ndoa ni kutokuhudumiwa.
Haya ya michepuko ni mengineo ila main topic ni kutokuhudumiwa.
Wanaume nyinyi wenyew vichaa, halafu mnataka wenzenu wawe timamu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume anahitaji constantly access to papuchi,nothing else lol
YOU ARE CORRECT
Si unaondoka kwani baba yako mzazi huyo?
The issue is... je intergrity ipo? Kama unafanya ili tudumu kwenye ndoa ni afadhali usiyafanye.