Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,951
- 183,493
Hiyo tufanyiwe tu wepesi kwakweli.Kwa hiyo namba moja na mbili unaweza ukayajua sana ila yakikufika maudhi yena yale mazito ukashindwa hata namna ya kujizuia.
Hiyo tufanyiwe tu wepesi kwakweli.Kwa hiyo namba moja na mbili unaweza ukayajua sana ila yakikufika maudhi yena yale mazito ukashindwa hata namna ya kujizuia.
Wewe tena shindikana[emoji134][emoji134]
Wanaume nyinyi wenyew vichaa, halafu mnataka wenzenu wawe timamu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika Dada. Itakuwa mleta uzi hajawahi kupata maudhi huyo.Hiyo tufanyiwe tu wepesi kwakweli.
😂😂😂Mwanaume anahitaji constantly access to papuchi,nothing else lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila papuchi ikiliwa constantly katika mazingira tulivu yenye kuelewana inanoga zaidi.Mwanaume anahitaji constantly access to papuchi,nothing else lol
Na kasahau tunaongea kuliko wao, sasa tukinyamaza tunapingana na nature[emoji85][emoji85]Hakika Dada. Itakuwa mleta uzi hajawahi kupata maudhi huyo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Wewe tena shindikana[emoji134][emoji134]
Cc Heaven Sent
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
K inapatikana hata nje.. Do you have anything special that you can offer?Mwanaume anahitaji constantly access to papuchi,nothing else lol
Ni sisi wanaume tumewafundisha hayo.😂
Kama sio rahisi ina maana yanavumilika yanayokusibu.
Kwa hiyo mwanamke asiye na uwezo wa kuzaa hana uvumilivu mkuu?
Sio rahisi kuwa na uvumilivu huo, ni rahisi kwa mwanamke kuondoka kama hana watoto kuliko akiwa na familia..ila kwa desturi zetu once ukiolewa tu then kuanzisha familia ni jambo linalotakiwa kuanza ... utaskia ‘ndoa haijajibu tuu,, na ukichelewa unarushiwa kila aina ya lawama... mie naona huruma sababu wengi wanakuwa traped kwenye huo mtego..huu ni mtego sababu once ukishazaa you are done...ni kifungo cha Maisha hicho... Ni sacrifice...
Hilo la mwanamke kutokuzaa ni matokeo tu.. ila wanawake tumeumbwa kuzaa na hii ni kwa species nyingi,,,, ukitaka kujua tumeumbwa kwa hilo, angalia hata wasiozaa na waliozaa kama wana tofauti kimuonekano? Lol. Anyway nilichokua nataka kusema parental investment sisi wanawake tuna put more kwa watoto.. na ndio maana tunavumilia mengi kutoka kwa partner, ndio nikauliza hii hali ingekua opposite je na wanaume wangekua wanavumilia maudhi yetu wanawake?ningependa kujua out of curiosity
Wanawake mnamaudhi mengi saana ambayo nasi tunaimani mngekuwa sisi msingeweza kuyavumilia.
Mfano rahisi tu.... ukitaka uone maudhi na dharau ya mwanamke ishi naye week 2 hauna kipato.
Kila gender huvutia kwake..tuyaache hayo ila ujue kwa uionavyo gender yako ipo perfect upande mwingine huona hivyo.
Mwanaume anahitaji constantly access to papuchi,nothing else lol
Mnhhhhhh si kweli kipato ndio kinaleta maudhi na dharau kutoka kwa wanawake.... ingekua hivyo ndoa kwa watu wenye kipato cha chini ingekua hadithi tuu,,, anyway lets agree to disagree..hii kitu ina depends on subjective experiences
Wanaume nyinyi wenyew vichaa, halafu mnataka wenzenu wawe timamu....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha eti shindikana akae kimyaWewe tena shindikana[emoji134][emoji134]
Cc Heaven Sent
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]