Eeeh apo umefungua akiliTatizo la Men kufikilia tupo sawa kisia na mwanamke wanawake sex sio kipao mbele hisia zao mda mwingi zipo offline paka ziwe activated..mwanamke anaweza kaa hata a year without sex na aside na tatizo lolote..sex kwao ni ishu ndogo sana na rahisi kuipata
nannUmeliwa
Unauliza majivu jikoni?Nikagonge nje siyo
kwa binadamu ni tofautiTendo la ndoa ni kwaajili ya kutafuta watoto tu.
Vipi kwani mmeshajiandaa kuwa Wazazi? 🤗
Anyways,
Tendo la ndoa linaambatana na Utimamu wa akili.
Kama hauna Utulivu wa Akili na Mwili, itakuwa vigumu kumudu hilo Jukumu.
Chukua Likizo kidogo ofisini ama kwenye majukumu yako, then muende na shemeji sehemu tulivu nje ya makazi yenu.
Nendeni mkalale hotelini japo Siku mbili tatu, huyo Jogoo wako akishindwa kupanda mtungi basi itakuwa una tatizo lingine Mkuu.
😂😂😂Unauliza majivu jikoni?
kwanini sasaWazee wanataka chao! Peleka mahali ya mtoto wao mkuu. Badae utaanza kunyonywa kinyeo ndo isimame. 😁
Huyo ndo mke sasaKuna mmoja hapa nilimuuliza unawezaje kukaa muda mrefu bila kupewa tendo la ndoa na mume wako na we bado unachemka? Akanijibu ameacha kufikiria habari za kufanya tendo la ndoa na mwili wake umezoea hali hiyo ya ukame wa kukosa tendo la ndoa. Nusura nimuombe nikamzimue ila namheshimu ni mke wa rafiki yangu, wametengana na hana wa kumzimua mwili wake uchangamke ung'are
he he heKma haisimami Peleka hata mkono
Inawezakana inawezakana bado naogopana, au unakula vya kula visivyo kuwa na virutubisho, au una choka Sana. Jaribu kupumzika vya kutosha na kura vizuri. Halafu usiwe na papara . Na kabla ya tendo fanya maongezi ya kimapezi na kugusana gusana.Wakuu, nimeoa siyo kwa ndoa au harusi. Jana nimerudi na mke, kwangu geto hapa Dar cha ajabu nimeshindwa kupiga show. Yaani, juzi usiku mzima tumelala nimeshindwa kupiga show. Jana nayo tena mambo yamegoma sijui nini.
Sina nguvu za kiume. Huyu manzi nilimla kama mara mbili kuna siku show mpaka ajakataa mwenyewe maana usiku hatukulala ni kitombo mwanzo mwisho. Hapo tulikuwa tunaibiana. Sasa nilivyoamua kurasimisha mambo ndo kitu imelala yoyooooo.
Hapa nawaza au ndugu zangu wameniroga. Maana hili swala nilishirikisha ndugu michango ya maali kama yote! Kwetu uchawi ni kama kawa (sina uhakika ila kijijini ndo mambo zao). Yaani nilale na mwanamke nishindwe kumla hadi asubuhi siyo mimi. Nimepata shaka sana. Kwa wanawake ukiolewa afu kusiwe na show utavumilia muda gani kabla hujafunga virago? Kwa mliooa hii ikoje? Nipeni ushauri.
Nadhani umalaya unanisumbua maana mechi za ugenini napiga sanaInawezakana inawezakana bado naogopana, au unakula vya kula visivyo kuwa na virutubisho, au una choka Sana. Jaribu kupumzika vya kutosha na kura vizuri. Halafu usiwe na papara . Na kabla ya tendo fanya maongezi ya kimapezi na kugusana gusana.
😳Ona sasa watu wanavyotaka uombe msaada, usitake msaada, wewe pambana na wazee wa jadi.