NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
skiliza nikwambie,,,,,,, tena na macho uyafungue usome unielewe... mimi ni nilham..... na kama ni nilham nshakuchoka kila siku watoka na mwengine.... nimekuwa sijiamini na changu.... sasa siwez tena kustahmili abuy we tafuta id nyengine... endelea kuwa na michelle kesho ubadilishe umchukue rose uone kama utaskia neno litokalo kwangu..... sana sana ntakupongeza tuu... wivu sina ......
hivi ku sign jina lingine humu si imo?