Mwanamke: Ukitongozwa ujue aidha umependwa au umedharauliwa! Acha kujirahisisha...

Status
Not open for further replies.
Orait, MMASAI is a gold in sand, lakini school fees ni muhimu zaidi.

Mambo gani ya kurudishana nyuma haya??

Huoni ameshatulia,wivu utakuua Biggie!

Ha ha ha ha,kwenye list haupo na hutakaa uwepo.........ndo kashaamua..MMASAI-PERIOD!
 
Orait, MMASAI is a gold in sand, lakini school fees ni muhimu zaidi.
hii bigirita!!!
nilikuomba msamaha kwa kukuchezea rafu in my sredi pls sikuintend ila nilishambuliwa sana nkajichanganya.
Nijulishe if we can match foward kwa roho safi.
 
Mambo gani ya kurudishana nyuma haya??

Huoni ameshatulia,wivu utakuua Biggie!

Ha ha ha ha,kwenye list haupo na hutakaa uwepo.........ndo kashaamua..MMASAI-PERIOD!
unajua ni vizuri kuchagua kitu ambacho hutarudi nyuma tena.........mambo ya kufuata gold iliyopo kwenye mchanga, wakati kuna amabyo ipo mkononi........just in case. miaka 10 down the line ada itakuwa ghali sana unajua!
Mi hata sina wivu bana.....namkumbusha tu, unajua mambo mengine haya ya kusema........ukiniangalia machoni unajua kila kitu nachotaka kusema.........Mmmm!! mbona kama form IIB.
 
hii bigirita!!!
nilikuomba msamaha kwa kukuchezea rafu in my sredi pls sikuintend ila nilishambuliwa sana nkajichanganya.
Nijulishe if we can match foward kwa roho safi.

Ha ha ha wapi Biggie msaada unahitaji huku fasta lol!!!!!!! BABY COME THIS WAY inahitajika huku
 
yaan ni bora niishi kwenye vurugu la chadema hapa AR kuliko tulivu la HASYKUL + FINEST.kila napokutana nao kwenye sred najiskia kukwazika itakuwaje tukutane live?being in MAHUSIANO wit a lot of people has developed my intrusion into perfection so hao jamaa sio kabisa

Lol!!!!!!!
 
hii bigirita!!!
nilikuomba msamaha kwa kukuchezea rafu in my sredi pls sikuintend ila nilishambuliwa sana nkajichanganya.
Nijulishe if we can match foward kwa roho safi.
Unakaribishwa.......hakuna mtu anayekuwa personal hapa.......at least wale ninaowafahamu mm.......na ni wengi sana.
Si unajua Greater thinkers tunauma na kupuliza bana!
:peace::peace::peace::peace::peace:
 
Simtaki tena mimi,aende zake,wanaume wako wengi,wachache kwa wasio na nyota!!!

Nyota yangu inang'ara na kuvutia, sitaki tabu,nimeachia ngazi!!

come to me baby,
mimi ni tulizo la moyo kwa walio vunjika moyo!!!!
To every action, there is equal and opposite reaction
 
ilitokea mjomba wangu (mchagga)akawekwe rumande kwa ishu flan.nilipomtembelea akaniambia kesho nimletee KONYAGI niimiminie in kopo la maji ya kilimanjaro yawe kama maji,nkamwambia ntaionjaje wakati wa kukupa hapa centro?basi akaniambia nimiminie bia kwenye wali uwe tepetepe manake anahisi damu itasimama kama hatapata pombe hiyo kesho. HIVI MICHALLE KUNA MCHAGA mwanaume asiyetumia mibia?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom