Si kosa, tena mimi nimemiss kweli! uko wapi? daaah!
Mpenzi mbona umeanza kuniogopesha.
Nipo mtaa wa kati.....karibu nikutongoze!!!
Mmmh, lile UDA nililokuwa napanda, limenyimwa route hii, ngoja nije na TANGANYIKA 11!
Fanya fashta na hiyo TZ 11 yako
Haaaah! Kumbe Mkuu wewe Mhindi? Daaah, mimi na wahindi mbali mbali!
Habari ya tangu jana kwa kila mmoja, leo nimeibuka na hii maada inayowahusu hawa dada zetu. Labda mtuthibitishie ktk hili. Siku hizi wanawake mmekuwa maharage ya mbeya mno.
Yaani inafikia hatua mnajitegesha kabisa ili utongozwe na ugawe uchi, mmefikia hatua mpaka mmekuwa kero sasa unajitongozesha kwa mwanaume halafu nusu saa baade tayar upo kitandan umevuliwa nguo huku ukiigiza kulialia kwa uwongo mtupu.
Jiheshimuni bwana mmetuchosha mpaka tunapata kichefuchefu. Badilika hebu zitunzeni nyuchi zenu kwa wanaume wenu watakao waoa.