Mwanamke ukiona dalili hizi acha kufanya mapenzi.

Mwanamke ukiona dalili hizi acha kufanya mapenzi.

Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja hivi
Tulikubaliana siku za kukutana kimapenzi.

Basi siku moja binti huyo alinifata akaniambia mpenzi wangu ninanyenge sana kivyovyote vile Leo naomba unifanye.

Kwa kuwa nilikuwa najua dalili zote za kuja kwa yai katika mrija wa folopian tubu (ovulation) nilimjibu siwezi kufanya hivyo Leo labda tusubili siku TATU au NNE zipite tutafanya.

Alikataa kata mpaka akafikia hatua ya KUNIBAKA MIMI MPENZI WAKE WA KIUME.

Tulivomaliza kufanya nikamwambia angalia siku zako kama zitatokea mwezi huu.Basi tulisubili mpaka siku zake tuzione cha ajabu hazikutokea.

Nilimwambia tayari mimba hiyo ishaingia,kwahiyo inakuwaje kuhusu huyo mtoto,Alinijibu TUTALEA lakini nilishamwambia sipendi kuwa na mtoto sasahivi.

Hivyo mpaka sasahivi Nina mtoto lakini sikutaka kabisa mtoto wa nje ya ndoa.

Ushauri wangu hasa kwa wadada pia na wakaka ukiona dalili zifuatazo usijaribu kufanya mapenzi na mwanamke kama hauna mpango wa kuwa na mtoto kwa wakati huo.

1.Mwanamke akiwa na nyege sana kuzidi siku zote(highest sensitivity of having sexual entercourse).

2.ute ute wa uke utoka bila kutalajia mwenyewe.(unexpectable vaginal fluids)

3.Joto kuzidi kiasi kwa siku hizo zinaweza kuwa zaidi ya mbili.(Highest body temperature)UKITUMIA THERMOMETER ITAKUWA NZURI SANA..Hizo ni dalili kuu za kukujulisha kuwa yai limekuja katika milija ya uzazi.

Kwenye swali lolote unaweza uliza hapa.
KARIBUNI KWA MASWALI NA MAWAZO ZAIDI.View attachment 1187722

Kirunjw hicho umecungashiwa, jaman ujashtuka hauna hata sifa ya kutudhauri sisi
 
Mkuu ulibakwa? Inawezekana pia alitaka akuangushie zigo la misumari na unalea mtoto wa mwenzako
 
Mtu unaangushiwa jumba bovu aafu unajiona mjanja.
Wanawake wahuni Sana, ukiona anakulazimisha kufanya mapenzi jua Kuna mahali kaharibu huko Ila anataka mzigo ubebe wewe.
 
Wewe jinga la mwisho kabisa, buree, zero, empty set.

Yani dume zima hata withdrawal huwezi/hujui?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu eti unamalizia kwa "karibuni kwa maswali"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lofa kweli wewe, sasa unataka tukuulize maswali ili tujifunze nini toka kwako?
 
Isee we jamaa mzembe kweli kweli, unabakwaje na mwanamke na ww halafu inaonekana hukubakwa sema tu ulilegea mwenyewe baada ya nyege kukupanda na wewe...halafu wanaume tunaojielewa hatuwezi kumwaga ovyo ovyo kama kweli huitaji mtoto kwa wakati huo....jifunze withdrawal method mzee baba!! Tatizo mkishaanza kugegeda basi mwili wote unajikuta unalegea kuwa na target time mzee baba ukishahisi wajomba wanakuja unachomoa faster kabla hata havijabisha hodi!! Mnakwama wapi iseee nimeshagegeda mademu zaidi ya 6 bila mipira na sijawahi kusikia hizo case za kutokupata hedhi....

VIJANA NAWASHAURI HUU USHAURI UTATUFANYA TUWE WALELEMAMA ISEE, DEMU AKIKUGANDA WE PIGA SHOW ILA KUMBUKA TU TIMING HALAFU UNAKUWA MJANJA CHAGUA STYLE AMBAYO UTAKUWA COMFORTABLE KUCHOMOA...SASA WW MWAMBIE AKALIE MCHUMA TU UTAISHIWA POZI YA KUCHOMOA MAPEMA!!!
Funzo acheni usharati. Oa mke wako. Na hiyo ya kumwaga nje ni dhambi kubwa! Katika biblia kulikuwa na dogo karithishwa mke was marehemu kaka yake , kakawa kanajifanya kajanja kwa kula timing kanamwaga nje. Mungu alikaua fasta!
 
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja hivi
Tulikubaliana siku za kukutana kimapenzi.

Basi siku moja binti huyo alinifata akaniambia mpenzi wangu ninanyenge sana kivyovyote vile Leo naomba unifanye.

Kwa kuwa nilikuwa najua dalili zote za kuja kwa yai katika mrija wa folopian tubu (ovulation) nilimjibu siwezi kufanya hivyo Leo labda tusubili siku TATU au NNE zipite tutafanya.

Alikataa kata mpaka akafikia hatua ya KUNIBAKA MIMI MPENZI WAKE WA KIUME.

Tulivomaliza kufanya nikamwambia angalia siku zako kama zitatokea mwezi huu.Basi tulisubili mpaka siku zake tuzione cha ajabu hazikutokea.

Nilimwambia tayari mimba hiyo ishaingia,kwahiyo inakuwaje kuhusu huyo mtoto,Alinijibu TUTALEA lakini nilishamwambia sipendi kuwa na mtoto sasahivi.

Hivyo mpaka sasahivi Nina mtoto lakini sikutaka kabisa mtoto wa nje ya ndoa.

Ushauri wangu hasa kwa wadada pia na wakaka ukiona dalili zifuatazo usijaribu kufanya mapenzi na mwanamke kama hauna mpango wa kuwa na mtoto kwa wakati huo.

1.Mwanamke akiwa na nyege sana kuzidi siku zote(highest sensitivity of having sexual entercourse).

2.ute ute wa uke utoka bila kutalajia mwenyewe.(unexpectable vaginal fluids)

3.Joto kuzidi kiasi kwa siku hizo zinaweza kuwa zaidi ya mbili.(Highest body temperature)UKITUMIA THERMOMETER ITAKUWA NZURI SANA..Hizo ni dalili kuu za kukujulisha kuwa yai limekuja katika milija ya uzazi.

Kwenye swali lolote unaweza uliza hapa.
KARIBUNI KWA MASWALI NA MAWAZO ZAIDI.View attachment 1187722
Mpenzi wako anakuambia ananyege sana anataka umtie halafu ww unakwepa, iko siku utakuta wenzio wameshafanya yao.
 
Nakubaliana na wewe. Mimi kuna demu wangu nilishamjua kuwa si makini. nikawa namfuatilia kwa karibu siku zake za hatari na mihemko yake. Kuna siku alikuja gheto na moto hatari, nikamkatlia akalia. Ikabidi niendee Condom
 
Anaesema "hataki mtoto sasa hivi" na angali nyege zikimshika anatafuta demu au mwanaume wa kumsugua tena kavu kavu Namwonaga kama PUNGUANI ASIE NA AKILI...kama hutaki mtoto sharti ni 1 "no sex"

Kwa wanaojifanya hawataki watoto nawaangalia tu...Muulizeni Jide au sepetu wawambie hizo kauli zenu wanavyozi chukulia, nasemaga mimi uzee wangu nitatunzwa na wanangu TU.
 
KUCHOMOA NI NGUMU USIJIDANGANYE WEWE, WALE WAJOMBA WANA KASI YA AJABU NI USIPIME.
KUCHOMOA NI KUJIFANYISHA TU, LKN VIMJAMAAA VINAINGIAKWA KASI ZAIDI MAPEMA KULIKO KASI YA KUFIKIRI, NA KUPELEKE TAARIFA KWENYE MISULI.
HUWA KUNA SHOT KM YA UMEME HIVI INAKUZUBAISHA.
 
We mzembe ndo maana unasema hivi....we kama huwez wenzako tunaweza
KUCHOMOA NI NGUMU USIJIDANGANYE WEWE, WALE WAJOMBA WANA KASI YA AJABU NI USIPIME.
KUCHOMOA NI KUJIFANYISHA TU, LKN VIMJAMAAA VINAINGIAKWA KASI ZAIDI MAPEMA KULIKO KASI YA KUFIKIRI, NA KUPELEKE TAARIFA KWENYE MISULI.
HUWA KUNA SHOT KM YA UMEME HIVI INAKUZUBAISHA.
 
Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja hivi
Tulikubaliana siku za kukutana kimapenzi.

Basi siku moja binti huyo alinifata akaniambia mpenzi wangu ninanyenge sana kivyovyote vile Leo naomba unifanye.

Kwa kuwa nilikuwa najua dalili zote za kuja kwa yai katika mrija wa folopian tubu (ovulation) nilimjibu siwezi kufanya hivyo Leo labda tusubili siku TATU au NNE zipite tutafanya.

Alikataa kata mpaka akafikia hatua ya KUNIBAKA MIMI MPENZI WAKE WA KIUME.

Tulivomaliza kufanya nikamwambia angalia siku zako kama zitatokea mwezi huu.Basi tulisubili mpaka siku zake tuzione cha ajabu hazikutokea.

Nilimwambia tayari mimba hiyo ishaingia,kwahiyo inakuwaje kuhusu huyo mtoto,Alinijibu TUTALEA lakini nilishamwambia sipendi kuwa na mtoto sasahivi.

Hivyo mpaka sasahivi Nina mtoto lakini sikutaka kabisa mtoto wa nje ya ndoa.

Ushauri wangu hasa kwa wadada pia na wakaka ukiona dalili zifuatazo usijaribu kufanya mapenzi na mwanamke kama hauna mpango wa kuwa na mtoto kwa wakati huo.

1.Mwanamke akiwa na nyege sana kuzidi siku zote(highest sensitivity of having sexual entercourse).

2.ute ute wa uke utoka bila kutalajia mwenyewe.(unexpectable vaginal fluids)

3.Joto kuzidi kiasi kwa siku hizo zinaweza kuwa zaidi ya mbili.(Highest body temperature)UKITUMIA THERMOMETER ITAKUWA NZURI SANA..Hizo ni dalili kuu za kukujulisha kuwa yai limekuja katika milija ya uzazi.

Kwenye swali lolote unaweza uliza hapa.
KARIBUNI KWA MASWALI NA MAWAZO ZAIDI.View attachment 1187722

Swali langu ni hili: Hiyo picha uliyeiambatanisha na huu uzi inamahusiano gani?
 
Unajifariji mkuu. Ila hapo umebebeshwa mzigo wa mtu mwengine.
 
Back
Top Bottom