Gai da seboga
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 532
- 1,036
Mkuu kapime DNA na huyo mtoto..
Wengine kumwagia ndani mpaka tuamue wenyewe isee na inategemea na demu unayemumwagia maana maademu wengine nuksi tu yaani huwa hawajielewi kiasi kwamba hata siku zao hawaelewi zinaendaje na wengine ni wazee wakutegeshea...So ukikutana na demu makini anayejitambua kwanza hawezi kushika mimba kizembe maaana kila kukicha wanabuni mbinu za kuzuia mimba kizembe Ila wale mademu wa kichwa cha panzi ndo hao wakikuta na wanaume mazembe kama huyo mtoa mada wanawachomekea[emoji16][emoji16][emoji16]hivi kumwagia nje siku moja moja huwezi?
Wacha wakate viuno tu maana huwa yakikaa yana jadili mikao ya kuwakomesha wanaumeElimu hii ingefikishwa kwa binti zetu mashuleni kwa mkazo wa aina yake..Maana mabinti wengi ktk vipindi hivi ndio wanakata viuno kama feni wakidhani wako salama.
Ha ha ha ha ha
Hatuwagi na nyege hadi za kutaka kubaka ..huyo alikuwa anaseti mipango yake baada ya kutinginya mambo mahali.
Hii ni ile tunaita "kuuziwa mbuzi ndani ya tulubai"Ha ha ha ha ha
Hatuwagi na nyege hadi za kutaka kubaka ..huyo alikuwa anaseti mipango yake baada ya kutinginya mambo mahali.
Kwa mujibu wa sheria za Tanzania mwanamke hawezi kumbaka mwanaume.Nilikuwa na mahusiano na binti mmoja hivi
Tulikubaliana siku za kukutana kimapenzi.
Basi siku moja binti huyo alinifata akaniambia mpenzi wangu ninanyenge sana kivyovyote vile Leo naomba unifanye.
Kwa kuwa nilikuwa najua dalili zote za kuja kwa yai katika mrija wa folopian tubu (ovulation) nilimjibu siwezi kufanya hivyo Leo labda tusubili siku TATU au NNE zipite tutafanya.
Alikataa kata mpaka akafikia hatua ya KUNIBAKA MIMI MPENZI WAKE WA KIUME.
Tulivomaliza kufanya nikamwambia angalia siku zako kama zitatokea mwezi huu.Basi tulisubili mpaka siku zake tuzione cha ajabu hazikutokea.
Nilimwambia tayari mimba hiyo ishaingia,kwahiyo inakuwaje kuhusu huyo mtoto,Alinijibu TUTALEA lakini nilishamwambia sipendi kuwa na mtoto sasahivi.
Hivyo mpaka sasahivi Nina mtoto lakini sikutaka kabisa mtoto wa nje ya ndoa.
Ushauri wangu hasa kwa wadada pia na wakaka ukiona dalili zifuatazo usijaribu kufanya mapenzi na mwanamke kama hauna mpango wa kuwa na mtoto kwa wakati huo.
1.Mwanamke akiwa na nyege sana kuzidi siku zote(highest sensitivity of having sexual entercourse).
2.ute ute wa uke utoka bila kutalajia mwenyewe.(unexpectable vaginal fluids)
3.Joto kuzidi kiasi kwa siku hizo zinaweza kuwa zaidi ya mbili.(Highest body temperature)UKITUMIA THERMOMETER ITAKUWA NZURI SANA..Hizo ni dalili kuu za kukujulisha kuwa yai limekuja katika milija ya uzazi.
Kwenye swali lolote unaweza uliza hapa.
KARIBUNI KWA MASWALI NA MAWAZO ZAIDI.View attachment 1187722
HahahahUmetisha isee, hebu ukuje PM kuna zawad yako[emoji16][emoji16]
Na anafurahia hatari😂😂😂Hii ni ile tunaita "kuuziwa mbuzi ndani ya tulubai"
Siyo ndani ya gunia tena.
Amejihami mana wanajamii wanapenda kila uzi uwe na picha.Jamaa anaakili sanaMkuu wanaposema "Weka Picha" hawamaanishi picha yoyote ile.