John Doe Kellerman
Member
- Nov 27, 2019
- 75
- 112
Baada ya kuona jamii inavuka ule mpaka wa kumrekebisha mwanamke na kugeuka kuwa kumsimanga mwanamke, nimeonelea kutoa angalizo lifuatalo.
Sisemi kwamba wasikosolewe, ninachosema ni wasionewe maana "women are naturally expensive, take the one you can afford and stop saying that they love money"
Kiukweli hata wanaume tunapenda pesa, ni uhalisia tu kwamba sisi ndio tunazitafuta wenyewe na wao inabidi tu tuwape. Sasa linalotokea ni kwamba wengi wetu hutafuta wanawake ambao hatuwawezi (kugharamia mahitaji yao). Na hii ndio sababu wale wenye pesa haswa kwenye jamii yetu hutoskia wakilalama kwamba women love money.
Nawasilisha wakuu!!!
Sisemi kwamba wasikosolewe, ninachosema ni wasionewe maana "women are naturally expensive, take the one you can afford and stop saying that they love money"
Kiukweli hata wanaume tunapenda pesa, ni uhalisia tu kwamba sisi ndio tunazitafuta wenyewe na wao inabidi tu tuwape. Sasa linalotokea ni kwamba wengi wetu hutafuta wanawake ambao hatuwawezi (kugharamia mahitaji yao). Na hii ndio sababu wale wenye pesa haswa kwenye jamii yetu hutoskia wakilalama kwamba women love money.
Nawasilisha wakuu!!!