Mwanamke shepu bibi weweeee

Mwanamke shepu bibi weweeee

TIQO

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2011
Posts
13,786
Reaction score
2,102




Mwanamke shepu bana haswaa linapo kuja swala au mpango mzima wa mapenzi.
Hata kama unakashepu kakuzuga basi piga pamba ambazo zinaweza kuonyesha kashepu kenye mvuto.
Unakuta n'tu ana miguu ka chelewa anavaa minskirt alafu huku juu ana bonge la mzigo anaonekana kituko lakini angevaa nguo nyingine hapo tayari angetengeneza mvuto wa kimapendi kwa jinsia ya upande wa pili.
Mwanamke shepu jamani
 
Kumbukeni hapa mchina hahusiki
 
Loh hilo shepu maradhi?...kheir mie nlonyimwa

Sent from my BlackBerry 9100 using JamiiForums

Maradhi gani bibie? wowowo lote hilo limepaliliwa na vyakula laini laini jamii ya fat
 
Hehehe, hata tv na pc za siku hizi ni flat both sides. Sony wega hoyeee!
 




Mwanamke shepu bana haswaa linapo kuja swala au mpango mzima wa mapenzi.
Hata kama unakashepu kakuzuga basi piga pamba ambazo zinaweza kuonyesha kashepu kenye mvuto.
Unakuta n'tu ana miguu ka chelewa anavaa minskirt alafu huku juu ana bonge la mzigo anaonekana kituko lakini angevaa nguo nyingine hapo tayari angetengeneza mvuto wa kimapendi kwa jinsia ya upande wa pili.
Mwanamke shepu jamani
Mzigo unahamasisha ile mbaya. Watu wanafaidi Jamani!!!
 
hili shepu hapana,hata bure sichukui,nani anataka kuwa celebriti,kisa shepu la kichina la mamsapu
 
Nakubaliana na wewe kuwa mwanamke shepu, lakini kwa hiii, mhhhhhh hapana!
 
Atanchoshaa tuuu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom