Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

Mwanamke Nyongaa.... Katikaaa Katikaaa.....

hahahahhahaaaaaa.....mimi nlifikiri upo kiwanja flani hivi😛😛😛

Nahama viwanja kila leo ila hapa JF ndo mazoezi, na dancing floor yenyewe
 
😎😎😎😎 HAYA MADAM ,angalia tu usikate kisigino...kachiri kachiri mpaka chini

Hhahahahahaa umenikumbusha zamanii, tulikuwa tunaimba kichura chura.... Kichuraa kichuraa saagaa, mume wangu kasafirii saaagaa kaniachia kigomaa saagaa na mtondo wa hariri saagaa
Kichuraa sagaa mtie gomaa kichura saagaa mtie gomaa....
 
Hhahahahahaa umenikumbusha zamanii, tulikuwa tunaimba kichura chura.... Kichuraa kichuraa saagaa, mume wangu kasafirii saaagaa kaniachia kigomaa saagaa na mtondo wa hariri saagaa
Kichuraa sagaa mtie gomaa kichura saagaa mtie gomaa....
😀😀😀😀 MAMBO ya miduara hayoooo....Gogo hotel pale kinondoni moja...wananjenje nk...
hapo najua nimekukumbusha mbali...mimi nlikuwa napenda mauno tu ya wanawake
 
😀😀😀😀 MAMBO ya miduara hayoooo....Gogo hotel pale kinondoni moja...wananjenje nk...
hapo najua nimekukumbusha mbali...mimi nlikuwa napenda mauno tu ya wanawake

Hhahahahahaa kumbe ulikuw unaenda paleee...
 
Hahahahahahaaa he really does....

And when he miss me, he just emoji me and I know what he needs. Naanza kumuimbia huku nacheza kuch kuch otahee hehehehehe

Viuno sasa na madoido kama nanihii hehehehehehee

Kasie Matata.

Kwa ukibonge huo unaweza kweli kukata mauno kama ya Amber Rutty?
 
Hivi hizi nyuzi choshaji bado zipo jf?mara ya mwisho niliziona Kwa Lara 1
 
Nikiwa na stress Kasie napitiaga nyuzi zako tu.basi nabak natabasam na kujiuliza hivi kuna wakat huwa nawe una stress?????
 
Nikiwa na stress Kasie napitiaga nyuzi zako tu.basi nabak natabasam na kujiuliza hivi kuna wakat huwa nawe una stress?????

Hhahahahahhaa nakuwaga na stress sema haimalizi lisaa nshaichomoa stress kwenye akili yangu. Napenda sana kucheka aisee na kutabasamu hiyo ni njia mojawapo ya kuifukuza stress.
 
Hhahahahahhaa nakuwaga na stress sema haimalizi lisaa nshaichomoa stress kwenye akili yangu. Napenda sana kucheka aisee na kutabasamu hiyo ni njia mojawapo ya kuifukuza stress.[/QUOTE/QUOTE]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom