Codeboy Breezy
Senior Member
- Nov 8, 2018
- 193
- 329
una uhakika na ukisemacho?Nafurahi kuzaliwa mwanamke.
una uhakika na ukisemacho?Nafurahi kuzaliwa mwanamke.
hahah umetisha xana,,ila naona bado upo xana!!Labda expiry date imekaribia
Mi muhenga banahahah umetisha xana,,ila naona bado upo xana!!
wahenga hawapo wwMi muhenga bana
coz najua hata ww waweza cheza na dam changa,,,,,kama mmMi muhenga bana
Sijawahi tamani damu changacoz najua hata ww waweza cheza na dam changa,,,,,kama mm
haya bhna!,,,Sijawahi tamani damu changa
Usichukulie vibaya bana. Haijawahi tokea sijui km inaweza tokeahaya bhna!,,,
mh! ucjal,,,inaweza tokea tu c unajua tena,,,,Usichukulie vibaya bana. Haijawahi tokea sijui km inaweza tokea
Mie ni kizee kigagula, japo nahimili mizigo mizito ila huo umepitiliza semi trela, huo mzigo wako utawafaa watu wa Kigoma heheheheee.
Tatizo lenu huwa hamuwezi kukatika wakati mnagegedwa....mnaudhi sanaWewe ni mimi wa miaka 20 mbele,hata nikizeeka sitajali ili mradi kukatika kupo damuni basi ntakatika mpaka kiuno kiitike abeeee hehehhee
Kamekazika ndiiii ndiiiiii hahha
Hahahahah wewe kama mie ingawa bado binti ila nakatika sana
Nacheza miziki yote kasoro vogodolo
Dancehall reggae blues bongoflava etc usiseme,inshort nakata mauno sana
Mwanamke nyonga bana hahahahah
Loooh huyo dady anakufaidi Sana kwa maneno matamu Kama hayoAaaahahahahahhaaa utamu utamu,
Ila hazifikii utamu ule asilia uliowekwa na Mungu mahali pengi pengi ila mahala pale ule utamu uleee ........hehehehehhehee
Miss you more love,Hello Sweet Maangiii, mambo!!??
Mekumisiiii....
Loooh huyo dady anakufaidi Sana kwa maneno matamu Kama hayo