Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,156
- 55,651
Wote inabidi uwakaribishe tu
Wote inabidi uwakaribishe tu
Hili jujwaa lisha poteza Muelekeo miaka mingi sana, ni bora tu ubakie huko. Nashanagaa mtu anaadika ujinga na then ana shabikiwa na naona wengi wanafurajia ujinga na hawa ndo wanajiita wajasirimaliNimehamia jukwaa hili kutokea jukwaa la siasa na habari mchanganyiko kuepuka msongamano wa habari za kipuuzi na kitoto. Kumbe na huku zipo?
Muda ni mali, na muda wa kufanya ya maana ukatumika kufanya ndivyo sivyo, huko ni kupoteza muda. Japo msomaji una option ya kuacha kusoma lakini picha ya wandishi wasumbufu inaonekana.Kwa miaka ya nyuma ilikuwa huwezi kukutana na post za ainahii humu ila kwa sasa naona ni kawaida tena ndo zinapata wachangiaji wengi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siangaiki nao wanakuja wenyewe.Kwanini hutaki kuoa unahaingaika na Wanawake wengi?
Siangaiki nao wanakuja wenyewe, halafu swala lakuoa sio lakukurupuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji mimba, nije?Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilipaswa kuja kwa style ipi mkuu?
Uchoyo tu
Unaninyima mimba
Huwa unatembea nao kuelekea wapi? Badili uelekeo wataacha kubeba mimba badala ya kubeba watoto😛Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?
Sent using Jamii Forums mobile app