lovelovelove
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 270
- 270
Wewee acha zako!!!umejaribu mara ngapi ikashindikana?
Wewee acha zako!!!umejaribu mara ngapi ikashindikana?
Swala lakuoa/ndoa halihitaji kujaribu.Wewee acha zako!!!umejaribu mara ngapi ikashindikana?
"MSIJISIFU BURE KWA KILA JAMBO BALI MUMSHUKURU MUNGU WENU WA MBINGUNI PEKEE"
Sasa kwanini umebandika uzi wako kwenye jukwaa la biashara?
Au ni tangazo?
sasa Wewe kwanini useme mungu hajakupangia uoe Bali kakupangia uzinzi kuna kipi kimetokea
"MSIJISIFU BURE KWA KILA JAMBO BALI MUMSHUKURU MUNGU WENU WA MBINGUNI PEKEE"
KASOME VIZURI KTK BIBLIA NDIPO URUDI KUNIULIZA TENA HAPA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Chakufanya kimbia nae mkuu mimba utaiskia redioniMwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia condom. Unapiga dry halaf unamwaga ndani. Unategemeaa. NnMwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo hiyo kijana huionii
Endelea ili mradi una uwezo wa kuwatunza na kuhudumia mahitaji yao.