Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe

Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe

Mwanamke ninayetembea nae lazima abebe mimba, nahiyo mimba lazima atakuwa mtoto wakiume naka sio wakiume basi nimapacha wakike na wakiume, hili jambo limekuwa likiniumiza sana kichwa hadi naogopa kutongoza, naombeni ushauri ndugu zangu nifanye nn?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo haujajua tatizo?Kuna mkuu mmoja huwa anawaita watu kama weye vitunguu swaumu.A very big ,big laughter!😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom