Mwanamke ninayeishi nae hataki nikamwone mwanangu

Mwanamke ninayeishi nae hataki nikamwone mwanangu

mm kwa kwel sina cha kukushauri maana ningekutunana tena ningekutuna hiv

"mpumbavu sana huna hakiri unawezaje kutoka na mwanamke mwingine halafu mahusiano yako ukamweleza mke wako wa ndoa mjinga sana ww taila mkubwa"

ila kwa kuwa umesema kama sina ushaur nisitukane nakaa kimya byeee!
 
nilikua nampenda sana but upendo unayeyuka kila siku
Na ndiyo maana unaona unakuwekea kiwingu na safar yako! ! !
1. Ulimsaliti (hata kama hajapata mtoto, sidhani kama amependa juu ya hilo ) mtie moyo asijione mkosi chini ya jua

2. Unalazimisha safar ambayo unajua kabisa ni kumtonesha kidonda, kuwa na utu basi!

Mtoto kumuona ni haki na wajibu wako but weka mazingira ya upendo na utu! !

Ukishindwa kabisa Muache, muoe huyo mwenye mtoto!

Kama vipi nenda nae ili awe na amani kuwa safari ni mtoto na sio kwenda kukumbushia huko! !
 
Ndg mtoto ni damu yako. Mke ananafasi yake lkn siyo kuzuia kumuona mtoto wako ujue mke huyo ni hatar kwa maisha yako ya baadae. Hata ukikubali hilo atakuja kukuzuia jambo lingine angalia asije kukutawala.
 
mm kwa kwel sina cha kukushauri maana ningekutunana tena ningekutuna hiv

"mpumbavu sana huna hakiri unawezaje kutoka na mwanamke mwingine halafu mahusiano yako ukamweleza mke wako wa ndoa mjinga sana ww taila mkubwa"

ila kwa kuwa umesema kama sina ushaur nisitukane nakaa kimya byeee!
nilikataa matus mkuu kama Huna ushauri unakaa kimia kwan kusaliti ni mm wa kwanza ata ulie nae ana kusaliti chunguza
 
Ndg mtoto ni damu yako. Mke ananafasi yake lkn siyo kuzuia kumuona mtoto wako ujue mke huyo ni hatar kwa maisha yako ya baadae. Hata ukikubali hilo atakuja kukuzuia jambo lingine angalia asije kukutawala.
asante mkuu kwa ushauri
 
Wewe nenda,acha ujinga,yeye angekua na mtoto wewe ungemsomesha.nenda kamanda nenda na ole wako usiende
 
Acha kuogopa mkwara wa mke, mfate mwanao kama akiweza akungoje akashindwa afunge safari, pia kama humpendi mwache tu kuliko kuishi kwa kujiforce kumpenda mtu utakuja kupasuka moyo uzeeke kabla ya wakati kisa Mali
 
Acha kuogopa mkwara wa mke, mfate mwanao kama akiweza akungoje akashindwa afunge safari, pia kama humpendi mwache tu kuliko kuishi kwa kujiforce kumpenda mtu utakuja kupasuka moyo uzeeke kabla ya wakati kisa Mali
Yaah man
 
Acha kuogopa mkwara wa mke, mfate mwanao kama akiweza akungoje akashindwa afunge safari, pia kama humpendi mwache tu kuliko kuishi kwa kujiforce kumpenda mtu utakuja kupasuka moyo uzeeke kabla ya wakati kisa Mali
umejuaje mkuu kipindi flan mawazo yalonizidi nikawa ni mtu wa tungi sana siku moja niliuzika sana nikawa napiga konyagi na dragon energy ilifika usiku mapigo ya moyo yalizidi kuwahi hospital pressure ilikuwa juu 180/90 ila nashukuru nilipata nafuu siku hizi nimeacha kabisa pombe
haya mambo yanaumiza sana moyo
 
laana yake isikutishe kwani ye ni Mungu au mzazi
 
Wewe usiforce kutaka kwenda kumwona mtoto. Umemsaliti mkeo hadi kuzaa nje ya ndoa, baada ya kujinyenyekeza unaleta mambo ya ubabe tena. Hivi chukulia tu mkeo angekuwa na mtoto before afu siku anakwambia anaenda huko mkoani kumsalimia mwanae kwa baba ake, hivi zubeda lake lisingemfata kweli kwenye Rungwe express? Mbona watu mnachukulia mambo easy hivyo? Unategemea mkeo atakwambia tu kirahisi "basi sawa mume wangu, nenda tu kamuone mtoto wetu na mama ake, wasalimie sana na nawapenda sana", ili muendeleze usaliti wenu vizuri?eishhhhhh. Mwanaume mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe vile vile.

Umemchoka binti wa watu basi muache, usimkondeshe kwa stress zako. Kwa sababu hajapata mtoto miaka 4 ndo unaona hana thamani tena kisa wewe ushampata, wapo waliozaa watoto 10 na leo hawana hata mtoto mmoja (God forbid) na kuna waliozaliwa na vizazi vyao ila leo wamepoteza huo uwezo. Ongea na mkeo kwa upole, usitegemee kama kuna mwanamke atakayekuelewa kirahisi hivyo kwa situation yenu. Heshimuni wake zenu ooooooh, msiwachukulie as if hawana mioyo sijui, mnaona kama hawaumii kabisa na muache huo ubabe wenu
 
Wiki ya pasaka nina likizo na nilikua nimepanga nisafiri mbeya kwenda kumwona mtoto niliezaa na mwanamke mwingine.

Kwani kipindi naishi na huyu nilie nae tulikaa Muda bila kupata mtoto nilitoka nje ya mkoa nikiwa mbeya nilifanikiwa kumpa huyu binti ujauzito tukianya mengi bc tuu tuyaache mtoto kazaliwa nikalea nilipo mueleza huyu binti nina mtoto ilikua ugomvi si wa kitoto alidiriki kumwita mbwa aliapa hataki kumwona wala kumsikia iliniuma sana. sijawahi enda mpaka leo

Sasa jana nimemgusia kwenye likizo ya easter naenda mbeya imetokea ugomvi adi kunilaani nikienda sitofika imeniuma kwa nn hataki nikamwone mwanangu nimewaza ikiwezekana nimfukuze tuu maana miaka mi4 hana mtoto mm naumia nikiwaza mfukuza nina miradi, viwanja, duka, si itakuwa kugawana? nifanyeje next weak niende mbeya kumwona mtoto huku kashanitishia?

Ushauri naomba kama Huna ushauri ukae kimia usilete matusi nipo seriaz... plzzzz
mwanamke si ndugu,nenda kamwone mwanao,akileta zake timuaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom