Mwanamke niliyemuamini sana ameniangusha

Mwanamke niliyemuamini sana ameniangusha

Tumsifu, asalaam aleykum

Naandika hata nikiwa na mabubujiko ya machozi moyoni yaani role model wa maisha yangu kwa mke niliyemtarajia naye ameniangusha jamaniiii. Dahhh hii dunia sio fair kabisa sijui who to trust I think only God.

Ni hivi kuna sister mmoja ambaye hatujawahi skia skendo zake since she was a little girl jamaa akamfukuzia japo alichezea sana kipigo, mahabusu na matusi mengi toka kwa mzazi wa binti lakini wapi.

Kifupi binti ashajaribu hadi kunywa sumu kumtisha mzazi wake asimtese au jaribu lolote la kuwaachanisha kifupi walikolezana kinomaaa.

Huyo jamaa ndo alikua first man wake kumtoa usichana ndo ivo mpaka sasa wana watoto wengi tuu sema mwanamke chombo bado kimesimama.

Bwana bwana yule mwanamke ni role model kwenye jamii yetu kama mwanamke mvumilivu na mwenye mapenzi ya kweli akiaminika hajawahi kua na mahusiano zaidi ya mumewe yangu azaliwe na wengi tulimtolea mfano kwa mademu zetu na wake zetu.

Sema sasa nilichokiona mimi leo wallah naapa sitomuamini mwanamke yeyote mwenye cheo chochote umri wowote na eti watoto wengi hapana hapana all weman ni ma kabichi yaani tuoe tuu kwakua ni MILA NA DESTURI ila wa pekeako hakunaaa

Yaani namshuhudia anaingia lodge na mwanaume mwingine nyumbani kaacha mtoto anaumwa umri wa mwaka mmoja?

Hata huyuuuu?
mkuu punguza speed kwanza, tupe habari kamili sio kichwa
 
Binafsi nadhani nisingemfuatlia labda japo yeye alivuka mipaka so kurudiana nae its not good decision
I am praying for you Baba Jayaron

Infidelity is not a minor issue.

Pole and Goodnight.
 
Kitanda uschokilalia huwez jua kunguni wake, nyumba zmefcha mengi saana.
 
Akune ye Nazi.... Mzee hawa watu hawana shukrani wakwangu alikua adi anakujoa moto na bado alitoka akabanduliwa nje
Kukunwa haina maana ya kukojoa tu... Kukojoa hata akijipiga vidole au kibomba atakojoa tu..!!! Je, unamwambia nini wakati unamkojoza, unamtazamaje wakati anakojoa..!? Anasema nini na wewe unajibu nini huku anakojoa? Unampapasa wapi wakati anakojoa? Usisahau anapokojoa kwa kibomba, kibomba hakipapasi wala kuomgea..ETC
 
Mumewe ni banker mkuubwa tuu kwenye tawi lake na magari wanayo sa ni pesa gani hiyo?
Kwani akiwa banker ndio guarantee ya kuhudumia familia?

Kuna wanaume wana pesa ndefu lakini hawajui watoto wanakula nini wanavaa nini hata umeme hanunui

Nyumba zina mambo mengi
 
Nilienda kumkojoza bana alafu anapenda kuchezewa kwa mpalange ila haendi,
 
Tumsifu, asalaam aleykum

Naandika hata nikiwa na mabubujiko ya machozi moyoni yaani role model wa maisha yangu kwa mke niliyemtarajia naye ameniangusha jamaniiii. Dahhh hii dunia sio fair kabisa sijui who to trust I think only God.

Ni hivi kuna sister mmoja ambaye hatujawahi skia skendo zake since she was a little girl jamaa akamfukuzia japo alichezea sana kipigo, mahabusu na matusi mengi toka kwa mzazi wa binti lakini wapi.

Kifupi binti ashajaribu hadi kunywa sumu kumtisha mzazi wake asimtese au jaribu lolote la kuwaachanisha kifupi walikolezana kinomaaa.

Huyo jamaa ndo alikua first man wake kumtoa usichana ndo ivo mpaka sasa wana watoto wengi tuu sema mwanamke chombo bado kimesimama.

Bwana bwana yule mwanamke ni role model kwenye jamii yetu kama mwanamke mvumilivu na mwenye mapenzi ya kweli akiaminika hajawahi kua na mahusiano zaidi ya mumewe yangu azaliwe na wengi tulimtolea mfano kwa mademu zetu na wake zetu.

Sema sasa nilichokiona mimi leo wallah naapa sitomuamini mwanamke yeyote mwenye cheo chochote umri wowote na eti watoto wengi hapana hapana all weman ni ma kabichi yaani tuoe tuu kwakua ni MILA NA DESTURI ila wa pekeako hakunaaa

Yaani namshuhudia anaingia lodge na mwanaume mwingine nyumbani kaacha mtoto anaumwa umri wa mwaka mmoja?

Hata huyuuuu?
Sa unashangaa nini?
We hujui kwamba mafuta yamepanda bei?
Unajua kwamba humo lodge aliingia kufanya nini pengine alienda kukamua mafuta
 
Kukunwa haina maana ya kukojoa tu... Kukojoa hata akijipiga vidole au kibomba atakojoa tu..!!! Je, unamwambia nini wakati unamkojoza, unamtazamaje wakati anakojoa..!? Anasema nini na wewe unajibu nini huku anakojoa? Unampapasa wapi wakati anakojoa? Usisahau anapokojoa kwa kibomba, kibomba hakipapasi wala kuomgea..ETC
We jamaa ka wako katulia shukuru Mungu.... Mwanamke hana formula yakimpanda anaumu vyovyote
 
Kwani akiwa banker ndio guarantee ya kuhudumia familia?

Kuna wanaume wana pesa ndefu lakini hawajui watoto wanakula nini wanavaa nini hata umeme hanunui

Nyumba zina mambo mengi
Babaa hii familia naijua kinagaubaga ni family friends.... Jamaa anahudumia familia 100%
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom