Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,579
- 6,280
Tumsifu, asalaam aleykum
Naandika hata nikiwa na mabubujiko ya machozi moyoni yaani role model wa maisha yangu kwa mke niliyemtarajia naye ameniangusha jamaniiii. Dahhh hii dunia sio fair kabisa sijui who to trust I think only God.
Ni hivi kuna sister mmoja ambaye hatujawahi skia skendo zake since she was a little girl jamaa akamfukuzia japo alichezea sana kipigo, mahabusu na matusi mengi toka kwa mzazi wa binti lakini wapi.
Kifupi binti ashajaribu hadi kunywa sumu kumtisha mzazi wake asimtese au jaribu lolote la kuwaachanisha kifupi walikolezana kinomaaa.
Huyo jamaa ndo alikua first man wake kumtoa usichana ndo ivo mpaka sasa wana watoto wengi tuu sema mwanamke chombo bado kimesimama.
Bwana bwana yule mwanamke ni role model kwenye jamii yetu kama mwanamke mvumilivu na mwenye mapenzi ya kweli akiaminika hajawahi kua na mahusiano zaidi ya mumewe yangu azaliwe na wengi tulimtolea mfano kwa mademu zetu na wake zetu.
Sema sasa nilichokiona mimi leo wallah naapa sitomuamini mwanamke yeyote mwenye cheo chochote umri wowote na eti watoto wengi hapana hapana all weman ni ma kabichi yaani tuoe tuu kwakua ni MILA NA DESTURI ila wa pekeako hakunaaa
Yaani namshuhudia anaingia lodge na mwanaume mwingine nyumbani kaacha mtoto anaumwa umri wa mwaka mmoja?
Hata huyuuuu?
Naandika hata nikiwa na mabubujiko ya machozi moyoni yaani role model wa maisha yangu kwa mke niliyemtarajia naye ameniangusha jamaniiii. Dahhh hii dunia sio fair kabisa sijui who to trust I think only God.
Ni hivi kuna sister mmoja ambaye hatujawahi skia skendo zake since she was a little girl jamaa akamfukuzia japo alichezea sana kipigo, mahabusu na matusi mengi toka kwa mzazi wa binti lakini wapi.
Kifupi binti ashajaribu hadi kunywa sumu kumtisha mzazi wake asimtese au jaribu lolote la kuwaachanisha kifupi walikolezana kinomaaa.
Huyo jamaa ndo alikua first man wake kumtoa usichana ndo ivo mpaka sasa wana watoto wengi tuu sema mwanamke chombo bado kimesimama.
Bwana bwana yule mwanamke ni role model kwenye jamii yetu kama mwanamke mvumilivu na mwenye mapenzi ya kweli akiaminika hajawahi kua na mahusiano zaidi ya mumewe yangu azaliwe na wengi tulimtolea mfano kwa mademu zetu na wake zetu.
Sema sasa nilichokiona mimi leo wallah naapa sitomuamini mwanamke yeyote mwenye cheo chochote umri wowote na eti watoto wengi hapana hapana all weman ni ma kabichi yaani tuoe tuu kwakua ni MILA NA DESTURI ila wa pekeako hakunaaa
Yaani namshuhudia anaingia lodge na mwanaume mwingine nyumbani kaacha mtoto anaumwa umri wa mwaka mmoja?
Hata huyuuuu?