Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 51,272
- 22,578
duh huyu demu atakuwa kakimbia hospt yetu dodomaaapole sana bro mazee dahh... ila wadudu tupo gestii kungonokaa styli mpya kabisa hapa jijini kipalestinaaa!
View attachment 2820996
duh huyu demu atakuwa kakimbia hospt yetu dodomaaapole sana bro mazee dahh... ila wadudu tupo gestii kungonokaa styli mpya kabisa hapa jijini kipalestinaaa!
View attachment 2820996
Midoli hiyo, stuka weweduh huyu demu atakuwa kakimbia hospt yetu dodomaaa
Mkuu usikae sana Peke Yako maana sio vizuri kwa watu wenye matatizo yenuWakuu habari zenyu!
Habari zenyuu tena!
Habari zenyuu tena!
Hakika mmebarikiwa.
Bila kuwachosha leo katika harakati zangu za hapa na pale kama mnavyojua mdogo wenu sina kazi bado naishi nyumbani maana bado umri wangu ni mdogo miaka 48 kwenda 49. Mara nyingi mtaani natembelea gari ya baba land rover discover 3, Sasa kilochonileta kwenu ni kuwa leo katika mihangaiko yangu ya kutafuta sehemu ya kucheza play station nikakutana na mwanamke niliyekuwa na uhusiano nae miaka 5 iliyopita ila alikuja kuniacha na sababu aliyotoa eti akili yangu haikui sambamba na mwili wangu basi nikaamua kama mbwai na iwe mbwai nikaachana nae.
Sasa leo nimekutana nae mtaa fulani hapa Dar alikuwa ndani ya kagari kadogo hivi model ya ist, aliniambia ndio anatoka kazini bahati yake kuniona maana alinimiss sana na maneno mengi, akasema kama vipi nipande gari yake twende nikapaone kwake, nikamwambia gari yako ndogo sana siwezi kuenea, we kokota hicho kitoy chako me nitapanda mchuma wangu twende kwako, njiani akasimama akaniambia gari yake mshale wa mafuta umeshuka sana ana wasiwasi kagari kake katazima, basi nikamwambia aweke full tank hapo petrol station, mimi kwangu mafuta yalikuwepo maana baba alijaza jana alivyoenda shamba kigamboni. Lakini pesa niliyomuwekea mafuta haikuwa yangu ni mama alinipa nikamnunulie mifuko ya chakula cha kuku nikirudi niwape, sio mbaya uzuri amesafiri kwa hiyo nitanunua pumba gunia moja nitawapa kuku.
Sasa kufika kwa yule ex wangu tukapaki gari ile kuingia kwake tu sebuleni akanirukia na kuanza oooh nimekumiss na nini mara mate, finger mambo ya kupima oil nikakuta na shimo lisilo la kawaida nikasema labda sio kwenyewe ni chini yake, nikaona mtoto kalegea nikasema sasa niingine pingili yangu, ghafla bin vuu mashine yote imezama halafu nasikia ubaridi kama nimeingiza kwenye kikopo cha ice cream, nikatoa na kuingiza tena ikazama kirahisi tena bila mkwazo wowote mpaka mashine ikakosa ile balance ya kuegemea ukuta, nikaona acha nitumie mkono kuipa balance kwa nje, dooh jamani watu wanajua kuharibu nyie!
Nikajikuta niko nyumbani sina pumba wala hela sijui kilitokea nini ila mwishoni nilisikia neno kwenda huko kibamia we , story imeishia hapa ila kama kuna mdau ana elfu 40 anipe nikanunue pumba bro wangu mwanasheria akinitumia hela ya matumizi nitamrudishia.
Chawa kivipi mkuuMkuu nimegundua una akili sana unafaa kuwa chawa wangu, njoo piemu sasa nikupe mchongo
Username yake imenikumbusha album ya bingwa wa muziki wa Congo Papaa Fololo Chalz Antwaa Koffi Olomide Quadra Koraman Mopao MokonziNoma sana!
Asante mkuu, baba yangu ni mstaafu alikuwa balozi huko Sweden miaka fulani kwa hiyo shida zimenipita kushoto mkuu. Hapa nasubiri bro astaafu uwakili anipe muhuri wake nipigie hela.Duuuh mwamba una raha .Sisi wengine baada ya kumaliza la saba tu tukakabidhiwa lidunia tuhangaike nalo.Kama nakuona kibabu sasa uko mezani unadonoa tu salad kidogo,matunda kidogo,vijiwali kidogo,minofu kidogo .Friji nalo linakusubiri.Nyinyi ndio mnakula mema ya nchi.
EEX.
Mwalimu wa muziki na mapenzi.
Kwa sasa Kahama,Shy.
Kula mema ya nchi mjomba wangu ,sisi wazee wetu si waliona mifuko ya madaftari mizito.Acha tumenyeke sasa.Asante mkuu, baba yangu ni mstaafu alikuwa balozi huko Sweden miaka fulani kwa hiyo shida zimenipita kushoto mkuu. Hapa nasubiri bro astaafu uwakili anipe muhuri wake nipigie hela.
wew Jamaa unafurahishaWakuu habari zenyu!
Habari zenyuu tena!
Habari zenyuu tena!
Hakika mmebarikiwa.
Bila kuwachosha leo katika harakati zangu za hapa na pale kama mnavyojua mdogo wenu sina kazi bado naishi nyumbani maana bado umri wangu ni mdogo miaka 48 kwenda 49. Mara nyingi mtaani natembelea gari ya baba land rover discover 3, Sasa kilochonileta kwenu ni kuwa leo katika mihangaiko yangu ya kutafuta sehemu ya kucheza play station nikakutana na mwanamke niliyekuwa na uhusiano nae miaka 5 iliyopita ila alikuja kuniacha na sababu aliyotoa eti akili yangu haikui sambamba na mwili wangu basi nikaamua kama mbwai na iwe mbwai nikaachana nae.
Sasa leo nimekutana nae mtaa fulani hapa Dar alikuwa ndani ya kagari kadogo hivi model ya ist, aliniambia ndio anatoka kazini bahati yake kuniona maana alinimiss sana na maneno mengi, akasema kama vipi nipande gari yake twende nikapaone kwake, nikamwambia gari yako ndogo sana siwezi kuenea, we kokota hicho kitoy chako me nitapanda mchuma wangu twende kwako, njiani akasimama akaniambia gari yake mshale wa mafuta umeshuka sana ana wasiwasi kagari kake katazima, basi nikamwambia aweke full tank hapo petrol station, mimi kwangu mafuta yalikuwepo maana baba alijaza jana alivyoenda shamba kigamboni. Lakini pesa niliyomuwekea mafuta haikuwa yangu ni mama alinipa nikamnunulie mifuko ya chakula cha kuku nikirudi niwape, sio mbaya uzuri amesafiri kwa hiyo nitanunua pumba gunia moja nitawapa kuku.
Sasa kufika kwa yule ex wangu tukapaki gari ile kuingia kwake tu sebuleni akanirukia na kuanza oooh nimekumiss na nini mara mate, finger mambo ya kupima oil nikakuta na shimo lisilo la kawaida nikasema labda sio kwenyewe ni chini yake, nikaona mtoto kalegea nikasema sasa niingine pingili yangu, ghafla bin vuu mashine yote imezama halafu nasikia ubaridi kama nimeingiza kwenye kikopo cha ice cream, nikatoa na kuingiza tena ikazama kirahisi tena bila mkwazo wowote mpaka mashine ikakosa ile balance ya kuegemea ukuta, nikaona acha nitumie mkono kuipa balance kwa nje, dooh jamani watu wanajua kuharibu nyie!
Nikajikuta niko nyumbani sina pumba wala hela sijui kilitokea nini ila mwishoni nilisikia neno kwenda huko kibamia we , story imeishia hapa ila kama kuna mdau ana elfu 40 anipe nikanunue pumba bro wangu mwanasheria akinitumia hela ya matumizi nitamrudishia.
Itakuwa wewe ni PencilToa tu ushauri au nirushie 40 elfu ya pumba za kuku
Afya ya akili muhimu sanaWakuu habari zenyu!
Habari zenyuu tena!
Habari zenyuu tena!
Hakika mmebarikiwa.
Bila kuwachosha leo katika harakati zangu za hapa na pale kama mnavyojua mdogo wenu sina kazi bado naishi nyumbani maana bado umri wangu ni mdogo miaka 48 kwenda 49. Mara nyingi mtaani natembelea gari ya baba land rover discover 3, Sasa kilochonileta kwenu ni kuwa leo katika mihangaiko yangu ya kutafuta sehemu ya kucheza play station nikakutana na mwanamke niliyekuwa na uhusiano nae miaka 5 iliyopita ila alikuja kuniacha na sababu aliyotoa eti akili yangu haikui sambamba na mwili wangu basi nikaamua kama mbwai na iwe mbwai nikaachana nae.
Sasa leo nimekutana nae mtaa fulani hapa Dar alikuwa ndani ya kagari kadogo hivi model ya ist, aliniambia ndio anatoka kazini bahati yake kuniona maana alinimiss sana na maneno mengi, akasema kama vipi nipande gari yake twende nikapaone kwake, nikamwambia gari yako ndogo sana siwezi kuenea, we kokota hicho kitoy chako me nitapanda mchuma wangu twende kwako, njiani akasimama akaniambia gari yake mshale wa mafuta umeshuka sana ana wasiwasi kagari kake katazima, basi nikamwambia aweke full tank hapo petrol station, mimi kwangu mafuta yalikuwepo maana baba alijaza jana alivyoenda shamba kigamboni. Lakini pesa niliyomuwekea mafuta haikuwa yangu ni mama alinipa nikamnunulie mifuko ya chakula cha kuku nikirudi niwape, sio mbaya uzuri amesafiri kwa hiyo nitanunua pumba gunia moja nitawapa kuku.
Sasa kufika kwa yule ex wangu tukapaki gari ile kuingia kwake tu sebuleni akanirukia na kuanza oooh nimekumiss na nini mara mate, finger mambo ya kupima oil nikakuta na shimo lisilo la kawaida nikasema labda sio kwenyewe ni chini yake, nikaona mtoto kalegea nikasema sasa niingine pingili yangu, ghafla bin vuu mashine yote imezama halafu nasikia ubaridi kama nimeingiza kwenye kikopo cha ice cream, nikatoa na kuingiza tena ikazama kirahisi tena bila mkwazo wowote mpaka mashine ikakosa ile balance ya kuegemea ukuta, nikaona acha nitumie mkono kuipa balance kwa nje, dooh jamani watu wanajua kuharibu nyie!
Nikajikuta niko nyumbani sina pumba wala hela sijui kilitokea nini ila mwishoni nilisikia neno kwenda huko kibamia we , story imeishia hapa ila kama kuna mdau ana elfu 40 anipe nikanunue pumba bro wangu mwanasheria akinitumia hela ya matumizi nitamrudishia.
Wakuu habari zenyu!
Habari zenyuu tena!
Habari zenyuu tena!
Hakika mmebarikiwa.
Bila kuwachosha leo katika harakati zangu za hapa na pale kama mnavyojua mdogo wenu sina kazi bado naishi nyumbani maana bado umri wangu ni mdogo miaka 48 kwenda 49. Mara nyingi mtaani natembelea gari ya baba land rover discover 3, Sasa kilochonileta kwenu ni kuwa leo katika mihangaiko yangu ya kutafuta sehemu ya kucheza play station nikakutana na mwanamke niliyekuwa na uhusiano nae miaka 5 iliyopita ila alikuja kuniacha na sababu aliyotoa eti akili yangu haikui sambamba na mwili wangu basi nikaamua kama mbwai na iwe mbwai nikaachana nae.
Sasa leo nimekutana nae mtaa fulani hapa Dar alikuwa ndani ya kagari kadogo hivi model ya ist, aliniambia ndio anatoka kazini bahati yake kuniona maana alinimiss sana na maneno mengi, akasema kama vipi nipande gari yake twende nikapaone kwake, nikamwambia gari yako ndogo sana siwezi kuenea, we kokota hicho kitoy chako me nitapanda mchuma wangu twende kwako, njiani akasimama akaniambia gari yake mshale wa mafuta umeshuka sana ana wasiwasi kagari kake katazima, basi nikamwambia aweke full tank hapo petrol station, mimi kwangu mafuta yalikuwepo maana baba alijaza jana alivyoenda shamba kigamboni. Lakini pesa niliyomuwekea mafuta haikuwa yangu ni mama alinipa nikamnunulie mifuko ya chakula cha kuku nikirudi niwape, sio mbaya uzuri amesafiri kwa hiyo nitanunua pumba gunia moja nitawapa kuku.
Sasa kufika kwa yule ex wangu tukapaki gari ile kuingia kwake tu sebuleni akanirukia na kuanza oooh nimekumiss na nini mara mate, finger mambo ya kupima oil nikakuta na shimo lisilo la kawaida nikasema labda sio kwenyewe ni chini yake, nikaona mtoto kalegea nikasema sasa niingine pingili yangu, ghafla bin vuu mashine yote imezama halafu nasikia ubaridi kama nimeingiza kwenye kikopo cha ice cream, nikatoa na kuingiza tena ikazama kirahisi tena bila mkwazo wowote mpaka mashine ikakosa ile balance ya kuegemea ukuta, nikaona acha nitumie mkono kuipa balance kwa nje, dooh jamani watu wanajua kuharibu nyie!
Nikajikuta niko nyumbani sina pumba wala hela sijui kilitokea nini ila mwishoni nilisikia neno kwenda huko kibamia we , story imeishia hapa ila kama kuna mdau ana elfu 40 anipe nikanunue pumba bro wangu mwanasheria akinitumia hela ya matumizi nitamrudish
Teh teh tehNajuta kusoma Andiko lako wewe ni Mjinga mno
Pumba za mama ulipata mkuu? Au uliuza kuku ukanunua mifuko!?Toa tu ushauri au nirushie 40 elfu ya pumba za kuku
Nimewaacha tu na njaa watajua wenyewePumba za mama ulipata mkuu? Au uliuza kuku ukanunua mifuko!?
Mtani sio kila wakati ukae sirias.....ulitakiwa uanze wewe kuonesha umegrow kuandika kiingereza kwenye chapisho kama hili sio ujanja. Anyway msimu wa senene unakaribia MTANI.People get older but don't grow
You seem something wrong upstairs