Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Ngoja niende kwenye hoja moja kwa moja!
Kwa kifupi sipendi harufu yoyote mbaya!nikitaka kudate na mwanamke yeyote cha kwanza inategemea ananukia vipi,Mimi kumtongoza mwanamke Mara ya kwanza nakutana nae inategemea ananukia vipi!
Harufu inayoniboa kushinda zote ni harufu za vipodozi vya kujichubua kama carolight,carotone etc,nikikutana na wanawake wenye harufu hizo siku yangu inaharibika kabisa ni Mara kumi hata anuke kikwapa!
Sent by Diaspora
Kwa kifupi sipendi harufu yoyote mbaya!nikitaka kudate na mwanamke yeyote cha kwanza inategemea ananukia vipi,Mimi kumtongoza mwanamke Mara ya kwanza nakutana nae inategemea ananukia vipi!
Harufu inayoniboa kushinda zote ni harufu za vipodozi vya kujichubua kama carolight,carotone etc,nikikutana na wanawake wenye harufu hizo siku yangu inaharibika kabisa ni Mara kumi hata anuke kikwapa!
Sent by Diaspora