Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,422
- 109,989
Sijawahi.. Wangu ananunkia napenda muda wotee niwe namnusa harufu yake shingoni
Sijawahi.. Wangu ananunkia napenda muda wotee niwe namnusa harufu yake shingoni
Inategemea ntu na ntu. Kuna harufu nyingine za jasho la mwanamke au jasho la kwapa zinakinaisha sana na nyingine zinavutia na kuongeza mahanjam mnapokuwa kwenye faragha.
mhhhhSijawahi.. Wangu ananunkia napenda muda wotee niwe namnusa harufu yake shingoni
Kunuka kikwapa ni kiashiria cha haraka kwamba huyo mtu hana exposure, ni mdada wa hapa hapa tu
nimewapenda ww na le madam blak woman😀😀
Waguna nn
Hahaa nilikua namweleza jinsi unavyonukianimewapenda ww na le madam blak woman
😂😂 unaweza hisi umeandik kiutani ila waja sasa😂😂Hahaa nilikua namweleza jinsi unavyonukia
Achana nao.. ukiwafuatilia sana utashindwa kuyafurahia maisha😂😂 unaweza hisi umeandik kiutani ila waja sasa😂😂
Achana nao.. ukiwafuatilia sana utashindwa kuyafurahia maisha
Hahahaha,, mkuu we nona eti wanzukiKuna watu wana jasho baya ukipishana nae kama umepishana na mtambo wa wanzuki
Mm sina usingizikweli tupu..hebu tulale kina sie
Mm sina usingizi
MI spendi wadada wanaunuka mdomo na K.Pia spendi harufu ya hayo makarolaitiNgoja niende kwenye hoja moja kwa moja!
Kwa kifupi sipendi harufu yoyote mbaya!nikitaka kudate na mwanamke yeyote cha kwanza inategemea ananukia vipi,Mimi kumtongoza mwanamke Mara ya kwanza nakutana nae inategemea ananukia vipi!
Harufu inayoniboa kushinda zote ni harufu za vipodozi vya kujichubua kama carolight,carotone etc,nikikutana na wanawake wenye harufu hizo siku yangu inaharibika kabisa ni Mara kumi hata anuke kikwapa!
Sent by Diaspora
mie nalala...choka mbaya babe
mungu anakuona ww[emoji15][emoji15][emoji15]Harufu mbaya uongeza mahaba..
Ungeniambia nikakuliwaza babe..