Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,897
- 14,447
Mara kumi hata anuke kikwapa!
Ngoja niende kwenye hoja moja kwa moja!
Kwa kifupi sipendi harufu yoyote mbaya!nikitaka kudate na mwanamke yeyote cha kwanza inategemea ananukia vipi,Mimi kumtongoza mwanamke Mara ya kwanza nakutana nae inategemea ananukia vipi!
Harufu inayoniboa kushinda zote ni harufu za vipodozi vya kujichubua kama carolight,carotone etc,nikikutana na wanawake wenye harufu hizo siku yangu inaharibika kabisa ni Mara kumi hata anuke kikwapa!
Sent by Diaspora
😀😀Wewe "kikwapa" hasa unakijua vizuri au unasema tu??-- si nafuu hizo carolites na vipodozi mwanamke anaweza kuachana navyo, je kikwapa anaweza kuachana nacho??!!
Hivi ninyi wanaume mna nini? wanaoongoza kwa kunuka marunyerunye wanaume bora hata ujue hili ni kwapa mwingine anana kwenye mdomo, kwapa, pumbu ukijumlisha hapo unapata bomu ya yeroshima kabisa. Maana zile boxer wanazozionyesha mara mmea wa bangi mara imeandikwa sijui ronado rangi unaajiuliza hii rangi ni toleo jipya ama? haieleiki njano kijana au brown na ramani juu, najiuliza huwa mnazivaa miaka mingapi bila kuzigua?
Hivi ninyi wanaume mna nini? wanaoongoza kwa kunuka marunyerunye wanaume bora hata ujue hili ni kwapa mwingine anana kwenye mdomo, kwapa, pumbu ukijumlisha hapo unapata bomu ya yeroshima kabisa. Maana zile boxer wanazozionyesha mara mmea wa bangi mara imeandikwa sijui ronado rangi unaajiuliza hii rangi ni toleo jipya ama? haieleiki njano kijana au brown na ramani juu, najiuliza huwa mnazivaa miaka mingapi bila kuzigua?