Mwanamke ni afadhali anuke kikwapa!

Mwanamke ni afadhali anuke kikwapa!

Mara kumi hata anuke kikwapa!


Wewe "kikwapa" hasa unakijua vizuri au unasema tu??-- si nafuu hizo carolites na vipodozi mwanamke anaweza kuachana navyo, je kikwapa anaweza kuachana nacho??!!
 
Bora kikwapa kuliko carolight aisee. Kikwapa kinaashiria mwili uko kwa job vizuri. Napendelea sana mwanamke mwenye kikwapa hasa kile hadi vinywele ya kwapa vimebadilika hadi rangi yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenifanya nicheke kwanza
Ngoja niende kwenye hoja moja kwa moja!
Kwa kifupi sipendi harufu yoyote mbaya!nikitaka kudate na mwanamke yeyote cha kwanza inategemea ananukia vipi,Mimi kumtongoza mwanamke Mara ya kwanza nakutana nae inategemea ananukia vipi!
Harufu inayoniboa kushinda zote ni harufu za vipodozi vya kujichubua kama carolight,carotone etc,nikikutana na wanawake wenye harufu hizo siku yangu inaharibika kabisa ni Mara kumi hata anuke kikwapa!


Sent by Diaspora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe "kikwapa" hasa unakijua vizuri au unasema tu??-- si nafuu hizo carolites na vipodozi mwanamke anaweza kuachana navyo, je kikwapa anaweza kuachana nacho??!!
😀😀
 
Ni sawa tuu na kumtumia dem wako maua.
Kesho anakutumia text.
"bebi mbona ile Mboga ulioleta ni chunguu"
Za mwenzio changanya na zako
 
Kwani wamekugusa ambapo huguswagi hadi uteseke sana?
Hivi ninyi wanaume mna nini? wanaoongoza kwa kunuka marunyerunye wanaume bora hata ujue hili ni kwapa mwingine anana kwenye mdomo, kwapa, pumbu ukijumlisha hapo unapata bomu ya yeroshima kabisa. Maana zile boxer wanazozionyesha mara mmea wa bangi mara imeandikwa sijui ronado rangi unaajiuliza hii rangi ni toleo jipya ama? haieleiki njano kijana au brown na ramani juu, najiuliza huwa mnazivaa miaka mingapi bila kuzigua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah 😂😂😂😂
Hivi ninyi wanaume mna nini? wanaoongoza kwa kunuka marunyerunye wanaume bora hata ujue hili ni kwapa mwingine anana kwenye mdomo, kwapa, pumbu ukijumlisha hapo unapata bomu ya yeroshima kabisa. Maana zile boxer wanazozionyesha mara mmea wa bangi mara imeandikwa sijui ronado rangi unaajiuliza hii rangi ni toleo jipya ama? haieleiki njano kijana au brown na ramani juu, najiuliza huwa mnazivaa miaka mingapi bila kuzigua?
 
Ila mkuu kunakuwaga na tuarufu fulani twa kikwapa kanakuaga amazing [emoji23][emoji23][emoji23] wajuvi wanajua hako kaharufu sitaki kusema snaa, ani ani ani dah kama tuarufu fulani hivi twa papa safi ute ute flani kabla hujaanza kumla au ukiwa unamla lohhh hizo harufu na ziheshimiwe

Nimeandika nini vile[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom