Mwanamke, nashidwa kumuelewa

Mwanamke, nashidwa kumuelewa

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Nipo hapa pande za kurasini. Katika kupita pita nikasikia makelele makubwa sana. Wadada wenye age kati ya 28 mpaka 35 hivi wakiwa wanapigana mbele ya kadamnasi.
Sasa kilicho nishangaza mpaka nimechoka na kuanza kumuwaza mwanamke kwa ujumla wao ni hiki chanzo cha ugomvi wao.
Wote wawili ni wake za watu. Ugomvi wao ni kwa bwana wao ambaye kimsingi wote wawili siyo mume wao.
Wanaume, tuwe wavumilivu sana.
 
wapuuzi tu hao.. tabia chafu tu hawana lolote .a huyo mwanaume wao
mwanaume wa maana anatembea na wake za watu? mwanaume wa maana anaanzia kichwani busara na hekima..huyo anaegombaniwa zezeta tu
 
waume zao hawajitumi je. fanyeni sehemu yenu mke ukimtengeneza vizuri hatoki nje hata siku moja sisi ndio washenzi hata upewe style gani utataka ungungulie tu jiko la jirani. care your wife hawezi kutoka nje ya ndoa.
 
Nipo hapa pande za kurasini. Katika kupita pita nikasikia makelele makubwa sana. Wadada wenye age kati ya 28 mpaka 35 hivi wakiwa wanapigana mbele ya kadamnasi.
Sasa kilicho nishangaza mpaka nimechoka na kuanza kumuwaza mwanamke kwa ujumla wao ni hiki chanzo cha ugomvi wao.
Wote wawili ni wake za watu. Ugomvi wao ni kwa bwana wao ambaye kimsingi wote wawili siyo mume wao.
Wanaume, tuwe wavumilivu sana.

Hapo nilipobold sijakuelewa kabisa, wanaume tuwe wavumilivu kwa lipi? Unaaminisha tukikuta wake zetu wanapigania mabwana wengine tuvumilie? Au ulikuwa una maana gani hasa hapa?!

Kwa mke wa mtu kupigania bwana ni dalili wazi kuwa huyu aliyenaye hana maana na ndiyo maana yuko tayari kupigana na mwenzake ili aendelee kuwa na huyo mwanaume mwingine. Hii pia inaonyesha hali ya kutokuwa na uaminifu ktk ndoa, kitu kinachohatarisha hata maisha kwa sababu ya magonjwa ya siku hizi. Suala hili linamdhalilisha mwenye mke, na kumeletea fedheha yeye na familia yake pia. Sasa huu uvumilivu wa wanaume unaozungumziwa ni upi? Wa kuvumilia kusalitiwa?
 
Tuangalie kwa jicho la 3, supposedly umeolewa mwak huu huu, hata michango yetu bado inatuuma, then ukagundua its a GRAVE MISTAKE kukubali kuolewa na huyo bwana! What you gonna do?

1. Leave him na ugeuke kituko cha jamii (The society never understands)

2.Stay miserable and fu.cked up by life for the rest of ya life?

3. Move on while still married, kama hivo akitokea mwanaume wa kuleweka! ofcourse you cant marry him but he can satisfy your inner desires very well. Inaitwa kupunguza machungu coz either way you are fu.cked up! Dont give she can remain fu.cked up with honor!!!!!!!!!!!

WE LIVE ONY ONCE AND THAT ONCE AINT SMOOTH!!!!!!!!!!!! 1 mistake 1 goal. Either you stay moping ya mistakes or you grow some balls and DARE THE DEVIL!!!!!!!!!:violin::shetani:
 
Hapo nilipobold sijakuelewa kabisa, wanaume tuwe wavumilivu kwa lipi? Unaaminisha tukikuta wake zetu wanapigania mabwana wengine tuvumilie? Au ulikuwa una maana gani hasa hapa?!

Kwa mke wa mtu kupigania bwana ni dalili wazi kuwa huyu aliyenaye hana maana na ndiyo maana yuko tayari kupigana na mwenzake ili aendelee kuwa na huyo mwanaume mwingine. Hii pia inaonyesha hali ya kutokuwa na uaminifu ktk ndoa, kitu kinachohatarisha hata maisha kwa sababu ya magonjwa ya siku hizi. Suala hili linamdhalilisha mwenye mke, na kumeletea fedheha yeye na familia yake pia. Sasa huu uvumilivu wa wanaume unaozungumziwa ni upi? Wa kuvumilia kusalitiwa?
Uvumilivu wa mwanaume namaanisha ni kukabiliana na mambo mengi ambayo yapo nyuma ya pazia katika ndoa nyingi.
Kwa case ya hawa wa dada, kama akutakuwa na uvumilivi kwa mume yoyote kati ya waume hao. Familia itasambaratika na mateso yataenda moja kwa moja kwa watoto.
 
Kwa hiyo hawa wamewakilisha wanawake wote? Hadi kutufikiria hivyo?
Kwani tabia za ngedere ni sawa na za kima.
Ngedere wana tabia zao na kima wana tabia zao.
Tofauti itakuwepo kidogo kwa wachache wao.
 
Uvumilivu wa mwanaume namaanisha ni kukabiliana na mambo mengi ambayo yapo nyuma ya pazia katika ndoa nyinyi.
Kwa case ya hawa wa dada, kama akutakuwa na uvumilivi kwa mume yoyote kati ya waume hao. Familia itasambaratika na mateso yataenda moja kwa moja kwa watoto.

Mhhh, ni kweli tunatakiwa kuvumiliana, lakini uvumilivu wa namna hii, sijui!!!
 
Waulize cheaters wote wakuambie. Kuwa cheated na small hausi inauma kuli kuwa cheated na mwenza halali. Manake unajirisk na kujivisha mabomu kwa ajili yake. Sijui nawazaje leo!
 
Okay, una mpango wa kuoa mwanamke au uliberali utahusika?

Nashangaa tu kwa sauti utaishije na ngedere ndani sijui kima

Kwani tabia za ngedere ni sawa na za kima.
Ngedere wana tabia zao na kima wana tabia zao.
Tofauti itakuwepo kidogo kwa wachache wao.
 
On point

Smoo hausi inauma sababu huwezi kui-controll na hofu ya kuachwa

Nahisi smoo yangu inanichit

Waulize cheaters wote wakuambie. Kuwa cheated na small hausi inauma kuli kuwa cheated na mwenza halali. Manake unajirisk na kujivisha mabomu kwa ajili yake. Sijui nawazaje leo!
 
Wala wasikushangaze kumbuka kuna mwanamuziki aliimba zamani kua maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Sasa hao huo ndio uchaguzi wao.
 
waume zao hawajitumi je. fanyeni sehemu yenu mke ukimtengeneza vizuri hatoki nje hata siku moja sisi ndio washenzi hata upewe style gani utataka ungungulie tu jiko la jirani. care your wife hawezi kutoka nje ya ndoa.
unamaanisha nini hapo kwa bold?
 
Back
Top Bottom