Mwanamke na Uchifu

Paskali nenda kawaambie leo hivi hao wazee wako wakisukuma waliomwita Samia chief uone kama hawajakukimbiza na mikuki.
Nikawaambie nini na nani, wakati waliomtawaza Samia kuwa Chief Hangaya, mkuu wa Machifu ni Chifu mkuu wa Wasukuma.
P
 
Iko hivi Mkurya anaweza kuwa chifu wa wamakonde?
 
Nikawaambie nini na nani, wakati waliomtawaza Samia kuwa Chief Hangaya, mkuu wa Machifu ni Chifu mkuu wa Wasukuma.
P
Ni kwasababu ya uchawa tu na kujipendekeza mkuu. Labda na pressure fulani kutoka juu ila kiuhalisia ni ngumu. Mfumo dume upo sana tu tena usukumani huko nilienda bibi mtu mzima ananisalimia mimi under 20 anapiga magoti.
 
Ni kwasababu ya uchawa tu na kujipendekeza mkuu. Labda na pressure fulani kutoka juu ila kiuhalisia ni ngumu. Mfumo dume upo sana tu tena usukumani huko nilienda bibi mtu mzima ananisalimia mimi under 20 anapiga magoti.
Hiyo ni heshima, nadhani wanawake wa Kisukuma ndio wanaongoza kwa heshima. Hata uchelewe kurudi home saa ngapi, huulizwi. Simu hagusi!. Hata upigiwe saa ngapi huulizwi. Kiukweli ningekuwa ushauri wa wanawake wa kuoa, ningeshauri watu wakaoe Usukumani.
P
 
Asee ngoja nijitahidi kuoa huko. Lakini mkuu Pasko hawa watoto wa siku hizi zi wameshachakachuliwa na utandawazi kweli watakuwa na maadili kama ya vizazi vya nyuma?
 
Malkia Chifu Nzinga Mbande.....

Hivi hayati Mfalme Phillip "Duke of Edinburgh" alikuwa ni "mtawala" kwa kuwa tu ni mfalme na si MALKIA Elizabeth?!!!

SIEMPRE CHIFU WA MACHIFU HANGAYAπŸ™
 
πŸ€£πŸ€£πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹πŸ‘‹
 
Siongezi neno .
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…