Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

Mwanamke na mitandao ya kijamii!!!

CALMAN

Senior Member
Joined
May 23, 2013
Posts
190
Reaction score
56
Miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakinipa woga na hofu ni kuoa mwanamke anayetumia mitandao ya kijamii zaidi ya moja mfano MMU, SIASA (JF),FB, INSTAGRAM nk huwa naondoa 60% kuwa sitowezana naye maana ni bora m/me akawa anafahamu mambo mengi kuliko m/ke atakudharua sn maana kila mtakachozungumza lazima apeleke mtandaoni huku upo naye hapohapo na hivyo kuona huna jipya kwake, hii imenifanya mahusiano na m/ke kitu muhimu kuuliza ni kuwa anatumia mitandao gani ya kijamii ili namna ya kukabiliana naye au wadau mnasemaje watu hawa wanafaa kuwa wife material kweli!
 
^^
Kuna ka ukweli kamepakwa rangi hapa!! Ngoja waje yetu masikio!
^^
 
Saa mkuu CALMAN unataka mkeo asiwe updated na mambo yanayoendelea ulimwenguni?au kwa kiswahili kingine unataka mkeo awe old fashioned?kupata mke mwelewa ni faida kwako na kwa kizazi chenu kijacho kwani mama akiwa na ufahamu mkubwa uwezekanao wa watoto kuwa na ufahamu mkubwa pia ni mkubwa,sasa kama unataka mke awe kilaza jiandae kuwa na kizazi kilaza pia,so kwa ufupi mi sioni tatizo mwanamke kujihusisha na mitnadao ya kijamii ilimradi tu anajiheshimu na haperuzi mambo yasiyofaa,na wala hilo halimfanyi mwanamke kukosa kigezo cha kuwa wife material.
 
Last edited by a moderator:
Saa mkuu CALMAN unataka mkeo asiwe updated na mambo yanayoendelea ulimwenguni?au kwa kiswahili kingine unataka mkeo awe old fashioned?kupata mke mwelewa ni faida kwako na kwa kizazi chenu kijacho kwani mama akiwa na ufahamu mkubwa uwezekanao wa watoto kuwa na ufahamu mkubwa pia ni mkubwa,sasa kama unataka mke awe kilaza jiandae kuwa na kizazi kilaza pia,so kwa ufupi mi sioni tatizo mwanamke kujihusisha na mitnadao ya kijamii ilimradi tu anajiheshimu na haperuzi mambo yasiyofaa,na wala hilo halimfanyi mwanamke kukosa kigezo cha kuwa wife material.


Hapana cmanishi awe old fashioned ila kuwa mtumiaji sana mitandao ya kijamii na tofautitofauti kunampa fikra za kuanza kujua mambo mengi yatakayompa ubusy wakuyatafakari assume hata mautundu yake ya mapenz unayofanya anaanza kuku enjoy tu unajua umedesa MMU na anaona hakuna jipya kwako
 
Last edited by a moderator:
jamani mkuu Himidini ubaya uko wapi mwanamke akijihusisha na mitandao ya kijamii?

^^
Sina jibu la moja kwa moja ila mtazamo wangu ni kuwa..kwa jinsia zote Mitandao ni kama kisu..ukikitumia vizuri hakina tatizo ukikitumia vibaya kinaweza kukukata na ukaachiwa majeraha.
^^
 
Last edited by a moderator:
sasa hapo unazungumzia tabia ya mtu na sio mitandao tena,kama mtu ana hiyo tabia hata bila mitandao ya kijamii atakuona ---- tu,kwani anaweza pata mambo mengi ya kumpa ubusy kuoka kwa mashocti majirani,mawork mate kama anafanya kazi na maeneo mengine mengi apart from mitandao ya kijamii,so cha msingi muombe Mungu akupe mke asiye na tabia ya kumuona mtu hana maana mara baada ya kujiona anajua mengi,vinginevyo mitandao ya kijamii ikitumiwa vizuri na wanawake ina msaada mkubwa sana kwao.
Hapana cmanishi awe old fashioned ila kuwa mtumiaji sana mitandao ya kijamii na tofautitofauti kunampa fikra za kuanza kujua mambo mengi yatakayompa ubusy wakuyatafakari assume hata mautundu yake ya mapenz unayofanya anaanza kuku enjoy tu unajua umedesa MMU na anaona hakuna jipya kwako
 
Hivi Instagram una mu-update mtu? Sijwahi kutumia hii kitu naisikia tu.
 
Hapana cmanishi awe old fashioned ila kuwa mtumiaji sana mitandao ya kijamii na tofautitofauti kunampa fikra za kuanza kujua mambo mengi yatakayompa ubusy wakuyatafakari assume hata mautundu yake ya mapenz unayofanya anaanza kuku enjoy tu unajua umedesa MMU na anaona hakuna jipya kwako

kwan kuna tatiz mtu ukidesa idea mpya then ukaifanyia kazi
 
Hamna kitu kinachosha kama mwanaume asiejiamini aisee.
Khaaaa! No wonder wachumba hawapatikani tena siku hizi

^^
Ashinde online! Alale online! Atafute relations online! Alete principles za online ktk ndoa!..
Mwanaume akilalamika useme hajiamini?
^^
 
Binafsi sioni kama ni tatizo,mitandao ya kijamii ina faida nyng na hasara kwa mtu ambae anashndwa kuitumia vizuri...
Kila mtu ana tabia zake na hivo ivo kama ni chafu atatumia mitandao kwa kufanya uchafu wake na pia huyo mwanamke ambae ukifanya kitu anaenda kukuanika huko katk mitandao ya jamii hakika hakupendi hata kidogo ujitoe mapema tu.
Kuna baadhi wanapenda mauzo huko kwenye mitandao ya kijamii anataka kila afanyacho apost,yani lazima mjue kavaa nini kuanzia jumatatu mpaka jumatatu,ikatokea huyo ndo mpenzio na wew haupend hyo tabia,ukimwambia haupend na anakupenda atakusikiliza.
Wengine si watu wa mitandaoni lakini tabia zao ni chafu balaa so kama wahtaj wife material muombe Mungu atakupa
 
Hamna kitu kinachosha kama mwanaume asiejiamini aisee.
Khaaaa! No wonder wachumba hawapatikani tena siku hizi
....Kujiamini ni kumwacha mwanamke ...awe anapost kila kitu kinachotokea kwenye ndoa mmu...kama yule kapigwa kibao tu kakimbila mmu kupost...alafu wakatii mwingine ni ushamba kuliko ujanja zaidi kama mnavyo fikiria......angalia definition ya KUJIAMINI vizuri
 
Ke akiwa kiburi ni kiburi tu!
Tena afadhali hicho kiburi chake kiwe na ukweli huo alioutoa mitandaoni inaweza kukupa challenge kidogo na kukusaidia baadhi ya vitu! Si unajua mwenyewe sio mkamilifu! kuliko ke mwenye kiburi, kiburi chenyewe pumba tupu!!!!
...
Nadhani mleta mada haujiamini na haupendi kuchallenjiwa!
Haya bhana tafuta kilaza umpeleke kwa rimote! But kumbuka mtoto wa njoka ni nyoka!!!
 
Binafsi sioni kama ni tatizo,mitandao ya kijamii ina faida nyng na hasara kwa mtu ambae anashndwa kuitumia vizuri...
Kila mtu ana tabia zake na hivo ivo kama ni chafu atatumia mitandao kwa kufanya uchafu wake na pia huyo mwanamke ambae ukifanya kitu anaenda kukuanika huko katk mitandao ya jamii hakika hakupendi hata kidogo ujitoe mapema tu.
Kuna baadhi wanapenda mauzo huko kwenye mitandao ya kijamii anataka kila afanyacho apost,yani lazima mjue kavaa nini kuanzia jumatatu mpaka jumatatu,ikatokea huyo ndo mpenzio na wew haupend hyo tabia,ukimwambia haupend na anakupenda atakusikiliza.
Wengine si watu wa mitandaoni lakini tabia zao ni chafu balaa so kama wahtaj wife material muombe Mungu atakupa
...Umeandika vizuri sana....lakini yale mambo ya kuandika kila kitu kinachotokea kwenye ndoa au mahusiana ni mbaya sana...na face bookhua nashanga mwanamke km ameolewa au na mchumba wanaheshimiana -huwa wanapost picha wamekaaa uchi kwa nini..?
 
Hapana cmanishi awe old fashioned ila kuwa mtumiaji sana mitandao ya kijamii na tofautitofauti kunampa fikra za kuanza kujua mambo mengi yatakayompa ubusy wakuyatafakari assume hata mautundu yake ya mapenz unayofanya anaanza kuku enjoy tu unajua umedesa MMU na anaona hakuna jipya kwako

Naomba unijuze kirefu cha MMU
 
Miongoni mwa mambo ambayo yamekuwa yakinipa woga na hofu ni kuoa mwanamke anayetumia mitandao ya kijamii zaidi ya moja mfano MMU, SIASA (JF),FB, INSTAGRAM nk huwa naondoa 60% kuwa sitowezana naye maana ni bora m/me akawa anafahamu mambo mengi kuliko m/ke atakudharua sn maana kila mtakachozungumza lazima apeleke mtandaoni huku upo naye hapohapo na hivyo kuona huna jipya kwake, hii imenifanya mahusiano na m/ke kitu muhimu kuuliza ni kuwa anatumia mitandao gani ya kijamii ili namna ya kukabiliana naye au wadau mnasemaje watu hawa wanafaa kuwa wife material kweli!

Inaonekana wewe unaogopa kufamaniwa kwenye mtandao!

It happens, nilishawahifumaniwa Jf, nili log in Jf nikasahau ku sign out, tena mbaya zaidi nilitumia simu yake, yangu haikuwa na chaji, kilichotokea hapo, naye amejiunga Jf, Id yangu anaifahamu, kila ninachokomment lazima akisome!
 
Hamna kitu kinachosha kama mwanaume asiejiamini aisee.
Khaaaa! No wonder wachumba hawapatikani tena siku hizi


Najimin sana sema weng wenu lazma mzungumzie ushabiki co uhalisia nachoamini self actualization kama inaenda poa mengne ziada
 
Back
Top Bottom