Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 637
mwambie akipandishwa akatae:yield:
No no no......apande mdogo mdogo mwishowe atazoea na atakuwa haachi mdomo wazi then AtAsHaNGiLiA!!!
mwambie akipandishwa akatae:yield:
Mpwa vipi ukiwa unapanda mlima ukifika kileleni mdomo na wewe huwa unakuwa wazi Lol!!!
Saasa,saaaaasaa ni saaaaaaaaaa ya kwenda kwetu..............lol!!
Hahahaha mpwa mm mpaka masikio huwa yanaziba huyu mm sijamwelewa anamaanisha mdomo upi? ule wa kumesa mwenzie?
Nimekukubali kwa kasi!Mama Big
Member
Join Date
Wed Nov 2010
Posts
43
Thanks
0
Thanked 6 Times in 6 PostsRep Power
0
Nimeanza na kasi zaidi nguvu zaidi na ari zaidi......hasa pale nitakapokaribia kileleni ndio itakuwa 360/hr
mh!mama kubwa kwa hiyo speed unatisha
Msalimie Baba yako eeeeeegh!!!!!!!! mwambie Big Mama.....Mama Kubwa anamsalimia mwambie asiache kunitafuta
naona wageni wanachakachua balaa...
:focus: ivi huo mlima anaweza kuupanda huku amelala chali?
Msalimie Baba yako eeeeeegh!!!!!!!! mwambie Big Mama.....Mama Kubwa anamsalimia mwambie asiache kunitafuta
au akifika katikati arudi nyuma!mwambie akipandishwa akatae:yield:
Wanadada jamvini naombeni msaada wenu ni njia gani nitumie ili niweze fika kileleni haraka. Maana mwenzangu anajitahidi sana kwa maandalizi kuanzia romance hadi mechi,lakini kuna wakat cfiki kabisa.
Plz wanawake wenzangu nipeni darasa.
nadhani wanaume wangekusaidia zaidi!