haya msalimie alafu tuulizie mbona kapotea sana ??nahisi ndio hiyo.........nitakuwa na undugu na Suma lee wa hakunaga
Problem shared-problem solved. Kwani hapa nahitaji uamuzi au mawazo? We kazi yako kutoa hoja maamuzi ni yangu.
Kuna jamaa alikuwa ananiambia ukioa kahaba ndio mzuri maana akiamua kutulia atatulia kweli kweli.
Dah..moyo unapondeka..
Mwanamke mwenye mtoto nae anahaki ya KUPENDWA kma mwanamke mwengne na ipo possibility kubwa yakukuheshm maisha yote kwakua atakua anajua jns gani umejitoa kwake! na mambo yakikumbushia hayapo kwakua wametangana wakiwa na sababu za mcng!!!!Wakuu salaam.
Husika na kichwa cha habari hapo juu, pasi na kutoa kisa kirefu naomba mnisaidie kwa kujibu swali hili: Kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine, na huyo mwanaume hajafa..na mtoto pia yupo ila yupo kwa baba yake?
NB: Mwanamke anasema kwa mwanaume huyo hakuna future na sio mtu ambaye anaweza kuishi naye. Anafanya mpango wa kumchukua mwanae na ikishindikana basi atamuacha huko..akiwa mkubwa atatamtafuta. Mpaka sasa watu wa upande wa baba wa mtoto hawataki mtoto achukuliwe.
Mkuu wasikutishe sana. Mimi binafsi niliolewa na tayari nilikuwa nimeshazaa mtoto 1. Na ndoa yangu sasa ina miaka 10 na kwenye ndoa nina watoto 2 na tunaishi na mume wangu vizuri kabisa bila matatizo yoyote. Ila wewe kama mwanaume ndiye unatakiwa kuonyesha msimamo zaidi kama kweli huyo bidada anakupenda kweli na anatakiwa kuweka mipaka kati yake na huyo baba mtoto.
Na ni vizuri mtoto akibaki kule kwa baba yake kama mahitaji yote anayapata hiyo itakusaidia wewe maana akitaka kwenda kumuona mtoto mtakuwa mnaenda wote na huyo baba mwingine hatapata nafasi ya kuja kwako kwa kisingizio cha kumuona mtoto wake.
Mkuu fuata ushauri wa Ndeye hapo juu,
Uzoefu ni Mwalimu Mzuri.
achana nae huyo demu hafai hata kumfanya house girl.
Asante sana mkuu.. Umeshapata changamoto gani ulizoziona ni ngumu mpaka sasa?
Maswali magumu kweli. Sina hata jibu la moja kwa moja. Ila je kama case zote zitatokea na asiende wala kujishughulisha nayo tuiteje?
Kwa sasa hamna ugumu wowote. Ila pale mwanzoni nilipata tabu kidogo kuwa mbali na mtoto na bahati nzuri alianza kuishi na babayake akiwa na 8yrs na alikuwa na uwezo wa kuja home mwenyewe kututembelea hiyo pia ilisaidia kutokuwa na mawasiliano na ukaribu na huyo baba yake na mpaka sasa yupo form I. Kwa hiyo sina sababu ya kuwa na mazoea ya karibu na babayake tumebaki kuheshimiana na huwa hatuoanani mtoto anatosha.