Mwanamke mwenye mtoto!

Mwanamke mwenye mtoto!

Ndogo jaribu kufikiria sana kinachomfanya amakatae mzazi mwenzio ndicho hicho kitakachomfanya akukate wewe...
Hakujua kuwa kutakuwa na tofauti ya dini hapo baadae mpaka leo kumuona kuwa hafai?
Je wazazi wako waliowana wakiwa na watoto njee ?
Ungelikuwa wewe ndio mwanaume huo unsengenywa na mzazi mwenzio kwa mwanaume mwingine ungelichukuliaje wakati mumeshazaa na kuishi pamoja zaidi ya miaka mpaka mtoto ana miaka mitano?
Siyo kila kitu uambiwe wanawake ni viumbe unique ataapaa kuwa hata usipomoa hatakubali kukaa na huyo mwanamke lakini kumbuka ni wepesi wa kusamehe pia?

Hawajawahi kuishi pamoja mkuu. Ni ajali tu za ngono hizo. Kikubwa alichoniambia ni kuwa pamoja na tofauti hizo za kidini hampendi jamaa...na hajui ilikuwaje kuwaje. Hayo mengineyo ngoja nishushe pumzi..!
 
kwa nini tunawaonea wanawake? kwahiyo na wanaume wenye watoto kabla ya kuoa hawafai?

Umeuliza swali lililokuwa kichwani mwangu. Ila pia hao wanaume wenye watoto ujue tayari mwanamke fulani anahusika na huo uzazi. Ila vidole na maswali yanakuwa mengi sana kwa mwanamke kuliko mwanaume.
 
mwanamke kuwa na mtoto hakiwezi kuwa kigezo cha kufaa au kutofaa kuolewa...wewe ni mwanaume...kuwa na misimamo ya kiume...kama mwanamke anafaa kuolewa kwa vigezo vyako muoe..
 
Hawajawahi kuishi pamoja mkuu. Ni ajali tu za ngono hizo. Kikubwa alichoniambia ni kuwa pamoja na tofauti hizo za kidini hampendi jamaa...na hajui ilikuwaje kuwaje. Hayo mengineyo ngoja nishushe pumzi..!
Kaka usijidanganye kwa hayo maneno hapo ana jitetea ili apate kuolewa, kuna kitu ana jaribu kukuficha.wanawake wako very fragile,you need to be smart to read them kama uko tayari kuwa mvumilivu pindi utakapo saidiwa na mume mwenzako basi muoe huyo dada kama una moyo mdogo basi tafakari mara mbili mbili usije ukaishia jela.
 
mwanamke kuwa na mtoto hakiwezi kuwa kigezo cha kufaa au kutofaa kuolewa...wewe ni mwanaume...kuwa na misimamo ya kiume...kama mwanamke anafaa kuolewa kwa vigezo vyako muoe..

Umeelewa mada/swali langu?
 
Kaka usijidanganye kwa hayo maneno hapo ana jitetea ili apate kuolewa, kuna kitu ana jaribu kukuficha.wanawake wako very fragile,you need to be smart to read them kama uko tayari kuwa mvumilivu pindi utakapo saidiwa na mume mwenzako basi muoe huyo dada kama una moyo mdogo basi tafakari mara mbili mbili usije ukaishia jela.

Duh....!!!😕
 
Umeelewa mada/swali langu?

Mimi mama yangu aliolewa akiwa ana mtoto na mwanaume mwingine tayari ...Family friend wetu alikuwa mzee ambaye pia alioa mwanamke ambaye tayari amezaa na mwanaume mwingine..hawa wote wako kwenye ndoa zaidi ya miaka 35...sisemi ndoa zao hazikupitia matatizo...ndoa zote zina matatizo...na mwanamke kuwa amezaa na mtu mwingine haimfanyi kuwa mke mbaya au bora zaidi..unless kama hujui unachotaka..
 
Mimi mama yangu aliolewa akiwa ana mtoto na mwanaume mwingine tayari ...Family friend wetu alikuwa mzee ambaye pia alioa mwanamke ambaye tayari amezaa na mwanaume mwingine..hawa wote wako kwenye ndoa zaidi ya miaka 35...sisemi ndoa zao hazikupitia matatizo...ndoa zote zina matatizo...na mwanamke kuwa amezaa na mtu mwingine haimfanyi kuwa mke mbaya au bora zaidi..unless kama hujui unachotaka..

Kijana usiishi kwa mazoea wewe umesahau kuwa hiki ni kizazi cha dot com?
 
Mimi sina shida nao...muhisika ataamua mwenyewe cha kufanya...nilichokuwa najaribu ni kumpa uzoefu wangu kwa hao wanamawake walioolewa wakiwa wamezaa na wanaume wengine..

That is why nikasema hiki ni kizazi cha .com tofauti na kizazi cha wazee wetu ambao walikua wanajitambua ndio maana wameweza kudumu kwenye ndoa zao miaka 35....jiulize kwa nature ya wanawAke wa leo wanaweza?
 
Single mothers ha2aminiwi cjui kwa nin maskini,inaniuma sana,being a single mom is a chalenging task,please marry her if u do love her and learn 2 trust her,...good lucky bro'

I've learned it too! I really feel bad
 
That is why nikasema hiki ni kizazi cha .com tofauti na kizazi cha wazee wetu ambao walikua wanajitambua ndio maana wameweza kudumu kwenye ndoa zao miaka 35....jiulize kwa nature ya wanawAke wa leo wanaweza?

Hapa tatizo ni kizazi hiki...wanandoa wakipitia vimatatizo viwili vitatu unaona wanavunja ndoa..kama vile huko wanapokimbilia hakutakuwa na matatizo..
Ila mtoa mada anafaa kufahamu kuwa kitendo cha huyo mwanamke kuwa na mtoto na mwanaume mwingine sio sababu ya kumfanya aone kuwa hatokuwa mke mzuri..haya mambo hayana formula..
 
je moyo wako ww binafc unayakaje! kama unampenda! haina ttz mbona! vingn vyooot viko chini yako
 
Bro ngumu kumeza hyo mimi nilitupiwa mtoto w 3yrz n mama yke nkamlea mimi n wazazi wng, then huyo mama akaolewa kila kukicha ananiitia mbunye bt cjawah tembea nae.

Nlimwambia mazoea n mtoto hajamwona 9yrz kila mara ananiomba namwambia c ulimtelekeza unamtaka w nini nw
 
Single mothers ha2aminiwi cjui kwa nin maskini,inaniuma sana,being a single mom is a chalenging task,please marry her if u do love her and learn 2 trust her,...good lucky bro'

pole naona umeandika kwa uchungu Sana. but, why did you made a choice to become a single mother? divorce, death au unplanned pregnancy? unajua kuna vitu mnavifanya wakati mwingine vinawagharimu. mf kumtegeshea mtu mimba ili akuoe, hii inawagharimu wengi wenu. kuna wengine tukishasikia umeshazaa hata uwe vipi tunakula kona mapema!
 
Hukupata bht ya kulelewa na single mom ndo maana unaongea 2

Haya wewe muache amuoe alafu usubirie siku akuage anakwenda kumtembelea mwanae, au usubirie siku umerudi nyumbani unakikuta kidume ndani kwako kishapikiwa na kimekula kikashiba alafu mkeo akakujibu huyu mzazi mwenzangu alikuja kushinda na mtoto wake au alikuja kumchukua mwanae.

Yaani atakuwa hana uhuru na mkewe hata akikuta namba ya simu imepiga mara 10 kwenye simu haukawii kuambiwa nilikua naulizia hali ya mwanangu.
 
Back
Top Bottom