Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,319
- 3,432
Hakuna ubaya wowote uliopo kuoa mwanamke mwenye mtoto maadamu mnapendana.
Lakini mwenye mtoto ataendelea kugegeda mamatoto kama zamani.
Kama hiyo siyo shida kwako, basi unaweza kumuoa huyo mama mtoto.
Mmmmh ila mkuu hamna wanawake walioachwa na watoto wao wanatanga tanga tu.. na ukiwauliza wanakuambia walibeba mimba ili kuwanatisha wapenzi wao!!. Ila pia watoto ni majaliwa ya Mwenyezi..
Mkuu kwani umeshakuwa scraper kiasi kwamba umekosa sifa za kujitwalia binti ambaye hakuwahi kuzaa na mwanaume mwenzako? Kuna faida na hasara za kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine!
Faida ni kwamba umeshajua kuwa ana uwezo wa kuzaa kwa hiyo kama huna matatizo ya uzazi mnaweza kupata watoto sita kwa miaka saba kama jamaa mmoja humu ndani!
Faida ya pili ni kwamba ana experience kwenye masuala ya unyumba kwa hiyo atakuwa mkufunzi wako...
Kabla sijasema demerits labda nikukumbushe tu kuwa wanaoolewa kufuata future kwa waume ni hiki kizazi cha digital lakini real women hawafuati future kwa wanaume so ukileta uvivu kitandani na kukosa ubunifu (of which mwenzio ni experienced) tegemea mkeo kusaka hizo 'future' kwa wenzako unaodhani umewazidi 'future'
Mimi siamini katika kufanya mapenzi kabla ya ndoa. haya yoote yanatokea kwa sababu watu wanakimbilia kufanya mambo ya ndoa kabla hawajaingia katika ndoa.
Kwakifupi, uzinzi ndio chanzo cha yote hayo. watu tunatakiwa tuache uzinzi.
Wakuu salaam.
Husika na kichwa cha habari hapo juu, pasi na kutoa kisa kirefu naomba mnisaidie kwa kujibu swali hili: Kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine, na huyo mwanaume hajafa..na mtoto pia yupo ila yupo kwa baba yake?
NB: Mwanamke anasema kwa mwanaume huyo hakuna future na sio mtu ambaye anaweza kuishi naye. Anafanya mpango wa kumchukua mwanae na ikishindikana basi atamuacha huko..akiwa mkubwa atatamtafuta. Mpaka sasa watu wa upande wa baba wa mtoto hawataki mtoto achukuliwe.
dah sipati picha mtoto akiumwa then bibie anakutana na zilipendwa wake.hapo lazima wakumbushie!
Nakuomba kijana achana na huyo mwanamke soon,sababu zake za kumwacha huyo jamaa yake aliemzalisha niza kipuuzi sana,ETI HANA FUTURE! Hata wewe hapo ulipo unaweza kupata matatizo makubwa na ukashindwa hata kujihudumia na ukategemea watu nawe atakwambia huna future na atakuacha.Je,yeye mwenyewe hiyo future anayo?? Huyo mtu kamgegeda mpaka kampa mimba na mtoto kakua ndio anamwona hana future?? Mwanamke akikupenda jitahidi ujue anakupendea nini?? Pesa,handsome au nini?
Mtoto ni jinsia ya kike miaka mitano. Future anayoisemea ni tofauti za kidini na mengineyo ambayo hayaelezeki. Kipato yule mwingine yupo juu kuliko mimi.
Hawana uhusiano wa kimapenzi tena.
Wakuu salaam.
Husika na kichwa cha habari hapo juu, pasi na kutoa kisa kirefu naomba mnisaidie kwa kujibu swali hili: Kuna tatizo gani kuoa mwanamke aliyezaa na mwanaume mwingine, na huyo mwanaume hajafa..na mtoto pia yupo ila yupo kwa baba yake?
NB: Mwanamke anasema kwa mwanaume huyo hakuna future na sio mtu ambaye anaweza kuishi naye. Anafanya mpango wa kumchukua mwanae na ikishindikana basi atamuacha huko..akiwa mkubwa atatamtafuta. Mpaka sasa watu wa upande wa baba wa mtoto hawataki mtoto achukuliwe.
Asante sana mkuu. What a powerful advice. Be blessed.
dah sipati picha mtoto akiumwa then bibie anakutana na zilipendwa wake.hapo lazima wakumbushie!
not necesary kama mwanamke anajielewa sio lazima agegedwe na ex wake.
Mie sioni shida...........kama mnapendana