Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,333
- 8,252
Sira 9
1 Usimwonee wivu mke umpendaye; utakuwa umemfundisha namna ya kukudhuru.
2 Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa.
3 Usifuatane na mwanamke wa tabia mbaya, la sivyo utanaswa katika mitego yake.
4 Usishirikiane na mwanamke mwanamuziki,
la sivyo, utanaswa kwa werevu wake.
5 Usimtazame kijana msichana mzuri; la sivyo, wewe na yeye mtapata adhabu ileile.
6 Usimpe malaya moyo wako, la sivyo utapoteza nchi yako yote.
7 Usipepesepepese macho mitaani mjini,
wala kuzururazurura kwenye maeneo yake ya pekee.
8 Usimtazame mwanamke mzuri,
usimkodolee macho mwanamke mrembo asiye wako. Maana wengi wameangushwa kwa uzuri wa mwanamke,
maana jambo hilo hufanya tamaa kuwaka kama moto.
9 Kamwe usiketi na mke wa mtu, wala kuketi naye kunywa pombe; la sivyo moyo wako utampenda
nawe utakosa kujizuia ukaangamia.
1 Usimwonee wivu mke umpendaye; utakuwa umemfundisha namna ya kukudhuru.
2 Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa.
3 Usifuatane na mwanamke wa tabia mbaya, la sivyo utanaswa katika mitego yake.
4 Usishirikiane na mwanamke mwanamuziki,
la sivyo, utanaswa kwa werevu wake.
5 Usimtazame kijana msichana mzuri; la sivyo, wewe na yeye mtapata adhabu ileile.
6 Usimpe malaya moyo wako, la sivyo utapoteza nchi yako yote.
7 Usipepesepepese macho mitaani mjini,
wala kuzururazurura kwenye maeneo yake ya pekee.
8 Usimtazame mwanamke mzuri,
usimkodolee macho mwanamke mrembo asiye wako. Maana wengi wameangushwa kwa uzuri wa mwanamke,
maana jambo hilo hufanya tamaa kuwaka kama moto.
9 Kamwe usiketi na mke wa mtu, wala kuketi naye kunywa pombe; la sivyo moyo wako utampenda
nawe utakosa kujizuia ukaangamia.